Leo nayatoa ya moyoni

Mkuu...
Nipo jf kitambo aiseeee....
Kuna ID ya kwanza niliitosa hapo 2012 baada ya kuiharishia.
Then nika fanya ID mpya
 
Halafu bado anazidi kugawa namba yake humu Jf na anatafuta mume,tunashukuru sana kwa kuweka wazi ameshafahamika huyo mpotezee tu kumbe ndio zake,ameshapitwa na muda huyo.
Naomba unipenyezee haka kaubuyu PM pls.
Asante.
 
Mkuu...
Nipo jf kitambo aiseeee....
Kuna ID ya kwanza niliitosa hapo 2012 baada ya kuiharishia.
Then nika fanya ID mpya
Mkuu...
Nipo jf kitambo aiseeee....
Kuna ID ya kwanza niliitosa hapo 2012 baada ya kuiharishia.
Then nika fanya ID mpya
Kumbe nirudi upya kuunganisha dots, lkn waweza nisaidia kwa kuniambia tu PM. Ila na wewe jitahidi kwenye malezi ya wanao, usiamini tu wadada na kuwakabidhi wanao. Mpe hata mama yako awatunze.
 
Kumbe nirudi upya kuunganisha dots, lkn waweza nisaidia kwa kuniambia tu PM. Ila na wewe jitahidi kwenye malezi ya wanao, usiamini tu wadada na kuwakabidhi wanao. Mpe hata mama yako awatunze.
Sawa mkuu
 
[emoji3] [emoji3] maisha ya humu fake ila usishangae maisha yako wewe unaefake tunayajua kinaga ubaga...aaah mdomo koma ukomae brenda nyamaza...
 
[emoji3] [emoji3] maisha ya humu fake ila usishangae maisha yako wewe unaefake tunayajua kinaga ubaga...aaah mdomo koma ukomae brenda nyamaza...

hahahhahahahahah.....Brenda hongera sana kama unayajua.....wewe utakuwa jembee sana.....yaani aminia sana brenda18
 
asante nifah mi nipo nakolezea tu...humu kuna wanaume hawafai ngoja niishie hapa....
 
[emoji3] [emoji3] maisha ya humu fake ila usishangae maisha yako wewe unaefake tunayajua kinaga ubaga...aaah mdomo koma ukomae brenda nyamaza...
We burenda hivyo vidole vya kukatwa!
 
hahahhahahahahah.....Brenda hongera sana kama unayajua.....wewe utakuwa jembee sana.....yaani aminia sana brenda18
aminia wewe unaecheba wanawake sita na hawajuani...shkamoo kubwa..koh koh aah jamani ngoja nipite kimya kimya
 
aminia wewe unaecheba wanawake sita na hawajuani...shkamoo kubwa..koh koh aah jamani ngoja nipite kimya kimya

hahahahahahah brenda18 nimekwambia wapo watu wanakula vitu hadi 12 na visijuane.....humuhumu JF...wewe unashangaa sita tu......

The point am making...Social media is a jungle...Don't dwell our relationships through social media....

Kuna a lot of issues kwenye social media.......

You should not expose yourself that much kwenye social media...hope unaelewa what I mean
 
asante nifah mi nipo nakolezea tu...humu kuna wanaume hawafai ngoja niishie hapa....
Naachaje kukupenda Brenda jamani?
Tokea long time kitambo hicho you know.....
Koh koh
Nimetamani kweli huo ubuyu wa wanaume wasiofaa,si unanijua tena shoga ako?
Hahahahahaaa
 
teh teh mimi sishangai sita hakuna nnachoshangaa braza..kwani mi nimefanyaje wajameni mi nilisema tu pia hata usipoexpose ukajidai kuficha bado kuna watu usiotegemea watajua tu...inshort nasema hivi unaweza kuwa na uozo wako ukajikuta msiri kumbe watu wanakuchora...mbaya zaidi ikiwa we bingwa wa kunyoshea watu vidole..jf watu kujikuta wao wasafi sana....haya tupate break sasa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…