Leo nayatoa ya moyoni

Nifah hili suala lilikuwa gumu na bado ni gumu tena sana... Hiii vita inapiganwa kwa mbinu na kila aina ya SILAHA tusubiri part 2
Hivi ni nani aliyewaloga ninyi wanawake?
Mnavuana nguo hadharani sababu ya mwanaume?
Tena mbaya zaidi ni wapenzi tu,angekuwa mume ndio kila mtu angewaelewa (hasa X)

Mwanamke wewe unamtukana na kumdhalilisha mwanamke mwenzio ambaye atakusitiri siku isiyo na jina.
Hivi ukipata ajali au kudhalilika ukabaki uchi atakayevua khanga yake kukusitiri maungo yako ni nani?
Kwanini mnajitoa fahamu namna hii?
Hivi hamna watoto?Mnadhani Karma itawaacha?

Halafu ni kujidhalilisha watu wazima kwa huu upuuzi mnaoufanya wa kugombea mwanaume.
Mwanaume hagombewi,anamjua anayemtaka,na atamtafuta kwa wakati wake.

Hakuna kitu sipendi kama kumgombea mwanaume.
Hivi nini hasa tatizo?Ni kutokujiamini au?
Ukigundua mwanaume wako ana mwanamke mwingine,mwanamke mwenye kujitambua fanya haya..
1.Achana nae
2.Play part yako
Hakuna haja ya kumgombea mwanaume na kumdhalilisha mwanamke mwenzio ambaye nae alitongozwa kama wewe.
Kama kajitongozesha hiyo ni case nyingine,huyo mwanaume ndio JIPU.
Period
 
naomba tuliache hili jambo ili kufikiwa maridhiano kwa wahusika.. naona tunapoelekea tutafika kwingine kubaya zaidi. Napigania heshima ya dada angu
 
bora uwaambie ukweli huku tunapokwenda watafikia mbali sana.. Napigania usawa katika hili... wao ni watu wazima
 


Hii ina uhusiano na hii
 
Mbona sielewi au ni Mimi tuu... Nilisoma Uzi mwingine kule nimeona watu wawili wanajibishana mmoja kammchokoza mwenzie na hapa naona mengine.. Kulikoni?
 
Ukitenda kichwan unakuwa na mambo kibao huku ukiwaza maneno haya it's Time to Love Yourself,..It's better to be single mana uwezo wa kuwa na album huna Ila ukipendwa ndo utamu ulipo kuna maneno haya Love Is Sweet...Feel the power of love, You drive me crazy...upande wa pili unacheka tuuu...Mwisho wa siku Kuachwa au Kuacha si dhambi ila dhambi kumsema vibaya mbaya wako huku ukiwapa faida hadhira..
 
ndoroboooooo
mlimbwende wa JF eeeh huyu
pole
 
naona umeweka hadharani kila kitu.. Andishi la kiuchokozi hili
 
Mkuu ongea nao waambie kugombea liborooo fc tena kwenye mitandao ni aibu....umri wao na matendo yao hayaendani kabisa istoshe jamaa amewashinda kwa KO kma mayweather
kuu mmoja ameshanitii na yupo kimya anatafuta pesa tu na namuomba aendelee kuwa kimya kuepusha maneno.. Popote ulipo dada angu tambua ahadi yangu kwako
ni kukupenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…