Leo nayatoa ya moyoni

Leo nayatoa ya moyoni

Natamani kumjua huyo X na NG sema ndio hivyo[emoji30]

Kama hutajali Ushimen nitajie hata kwa piemu[emoji40]
 
Freeland
Hii kitu ipo hapa jf kwa muda sasa, pengine waweza kua mmoja kati ya wasio ijua hii sinema.
Ebu ngoja niishie hapa aiseee... nisije nikajikuta nafunguka hata ID zao...[emoji12]

basi mkuu...kumbe kuna stori nyingi behind the scenes...acha ninyamaze kamanda
 
Natamani kumjua huyo X na NG sema ndio hivyo[emoji30]

Kama hutajali Ushimen nitajie hata kwa piemu[emoji40]
Kuna jukwaa ambalo ukifuatilia yanayo jiri unaweza pata chembe ya yalio nyuma ya pazia, then uanzie hapo
basi mkuu...kumbe kuna stori nyingi behind the scenes...acha ninyamaze kamanda
 
Ngoja nishangae tu maana......... aaaaah hii hatari
Tena hatari sio kidogo aiseeee.....
Ngoja kwanza nijifikirie, kama vipi nitawataja kwa I'd zao kwenye herufi 1 ya mwanzo na 2 za mwisho
 
Yaani.....
Nilijua ana watoto wawili, kumbe alikua ana mwingine ambae alimzaa akamuacha kwa babayake mtoto. Ndipo nilipo kuja kujua baadae kwamba kumbe alikua na mtoto wa manzo tofauti na hawa wawili ambao nilikua nawasomesha na wakwangu wawili.
Kwakifupi sikuwahi kuzaa na X, na nilijua ana watoto wawili kumbe ana watoto watatu, na kumbe bado yupo ndani ya ndoa
Dah pole sana, halafu ni mwanaume mzuri tu unaejali mpaka watoto wake, kumbe demu tapeli cha ajab hata mumewe haulizi ada zatoka wapi. usikute wamepanga na mumewe wakuchune WANAUME WA DAR SI UNAWAJUA?
 
Back
Top Bottom