Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh.CCM Ndio inapenda vijana Wa Tanganyika waweke nguvu zao huko kwenye simba Na YANGA".
Great thinker
Duh.
Kama unapenda siasa za mapambano nenda goma na bukavu
Labda kuna posho. Mods tuambiane basi. Msifanye siri mambo mazuri kama haya. Inawezekanaje mtu anaacha usingizi anasubiri hadi saa 6 za usiku ili apost tu kuhusu Simba na Yanga halafu iwe bure tu?Hivi kunakuwa na malipo yoyote?
Life si too short Fanya mema Mungu atakulipa.Niende kwa wakongomani wapumbavu wale nchi yao inaliwa wamekazana kukata Viuno majukwaani.
Sh3nzi kabisa wale.
Vincenzo Jr 🤣🤣🤣🤣Uongozi wa jf uingilie Kati la sivyo members watapigana ngumi. kavukavu
Leo Damu itamwagikaVincenzo Jr 🤣🤣🤣🤣
Madamu yatamwagika🤣🤣🤣🤣Leo Damu itamwagika