Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikifika saa sita usiku kutakuwa nyuzi zisizopungua 3 za Simba na Yanga. Huwa inashangaza sana🤣
Hebu mtag anayefaa kuanzisha uzi huo ili wengine wapumzike tuu
Wewe unavyoleta nyuzi za mpaka Khanga mpya au Mavazi ya Chadema au kila kukicha hiki au kile cha Chadema kimeshangaza nchi nzima mpaka unabubujikwa na machozi unalipwa ?!!!Hivi kunakuwa na malipo yoyote?
Why mkuuNiachieni mimi one time. Unaweza kuwa uzi wangu wa mwisho kabla sijala ban ya mwaka mzima.
Mods wame futa nyuzi 3 Sasa hivi🤣😂Kuepuka kupoteza muda kwenye typing watu walishaandaa uzi tangu juzi wakijua kutakuwa kuna foleni ya kugombania kuwa mtu wa kwanza kupost
Wana wametegesha saa wanaskilizia ifike saa 6 tu wauachie. Na kwa dalili zinavyoonesha wapo watao anza kupost kabla hata ya saa 6.
Wanataka kuonesha kuwa wao ni watu wa sports actually ni jambo zuri ila kuna ki double standard, leo kulikuwa na mechi ya Tabora na JKT na hakuna aliyejisumbua.
🤣🤣🤣nimechelewa sekunde 1Greatest Of All Time wame futa wako🤣😂
We kadada kila uzi upo na comments unapuyanga sana. Itakua hadi kachupi kananuka halooVincenzo Jr andaa uzi kabisa..!
😃😃😃
Nimechelewa kidogo nilikuwa kwenye mkutano paleVincenzo Jr andaa uzi kabisa..!