Leo ndio ile siku members humu wanagombea kuanzisha uzi wa Simba Vs Yanga

Hivi kunakuwa na malipo yoyote?
Wewe unavyoleta nyuzi za mpaka Khanga mpya au Mavazi ya Chadema au kila kukicha hiki au kile cha Chadema kimeshangaza nchi nzima mpaka unabubujikwa na machozi unalipwa ?!!!

Nadhani to each his / their own na ni wadau kama hawa ndio wanaifanya hili litovuti liwe Jukwaa. Ni rasilimali kubwa sana...
 
Mods wame futa nyuzi 3 Sasa hivi🤣😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…