Leo ndio itakuwa mara yangu ya mwisho kupanda mwendokasi

Leo ndio itakuwa mara yangu ya mwisho kupanda mwendokasi

Nimekaa mda huu hapa mbezi stand...jua linachoma halafu tumepangwa kwenye foleni masaa mawili sasa hakuna dalili ya gari...nahisi kichwa kuuma unaweza kuzimia kabisa....hii foleni utafikiri ya kwa mzabuni,,kule jkt
Nunua gari lako hizo adhaa utazipata tena
 
Nimekaa mda huu hapa mbezi stand...jua linachoma halafu tumepangwa kwenye foleni masaa mawili sasa hakuna dalili ya gari...nahisi kichwa kuuma unaweza kuzimia kabisa....hii foleni utafikiri ya kwa mzabuni,,kule jkt
Unazuiwa kutoka nje ya kituo na kupanda usafiri mwingine?
 
Back
Top Bottom