Leo ndio nimegundua Simba hamna kocha pale

Leo ndio nimegundua Simba hamna kocha pale

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Huyu kocha hata Mimi nikikaa pale naweza fundisha huu mpira unaochezwa, match karibu 7 za Simba wanashinda kwa kubahatisha na kwa msaada wa marefa,

Kinachonishangaza ni hizo sub zake zisizoeleweka, nimeshangaa Leo anamtoa Mpanzu aliekua na shoot on target 5 anamuingiza Mutale mchezaji ambae hajawai kuprove chochote uwanjani, sasa hiyo ni akili kweli?

Hebu naomba kunielewesha wataalamu wa mpira, hapo kocha alikua anafikiria nini?
 
Labda akafundishe kuiba mahindi kwenye mashamba ya shule
Wanadhani mpira ni baiskeli kila mtu anajua.

JKT walitumia zaidi low block! Hii ni mbinu ngumu sana kuwafunga maana wanakuwa compact bila kuacha spaces za kushambulia.

Utatumia mipira mirefu watatoa maana inakuwa 50/50 winning possibilities.

Msiojua mpira mnaona wachezaji na kocha walifeli.

Kashabikieni pornography mpira si sehemu yenu.
 
Wanadhani mpira ni baiskeli kila mtu anajua.

JKT walitumia zaidi low block! Hii ni mbinu ngumu sana kuwafunga maana wanakuwa compact bila kuacha spaces za kushambulia...
Hawawezi elewa ...
Unajitesa Bure tu mkuu....
 
Wanadhani mpira ni baiskeli kila mtu anajua.

JKT walitumia zaidi low block! Hii ni mbinu ngumu sana kuwafunga maana wanakuwa compact bila kuacha spaces za kushambulia.

Utatumia mipira mirefu watatoa maana inakuwa 50/50 winning possibilities.

Msiojua mpira mnaona wachezaji na kocha walifeli.

Kashabikieni pornography mpira si sehemu yenu.
Aha ha ha sasa mutale asicheze kaja TZ Kufanya nini
 
Huyu kocha hata Mimi nikikaa pale naweza fundisha huu mpira unaochezwa, match karibu 7 za Simba wanashinda kwa kubahatisha na kwa msaada wa marefa,

Kinachonishangaza ni hizo sub zake zisizoeleweka, nimeshangaa Leo anamtoa Mpanzu aliekua na shoot on target 5 anamuingiza Mutale mchezaji ambae hajawai kuprove chochote uwanjani, sasa hiyo ni akili kweli?

Hebu naomba kunielewesha wataalamu wa mpira, hapo kocha alikua anafikiria nini?
Mbaaf wahed

Kila siku mnagundua tu
 
Huyu kocha hata Mimi nikikaa pale naweza fundisha huu mpira unaochezwa, match karibu 7 za Simba wanashinda kwa kubahatisha na kwa msaada wa marefa,

Kinachonishangaza ni hizo sub zake zisizoeleweka, nimeshangaa Leo anamtoa Mpanzu aliekua na shoot on target 5 anamuingiza Mutale mchezaji ambae hajawai kuprove chochote uwanjani, sasa hiyo ni akili kweli?

Hebu naomba kunielewesha wataalamu wa mpira, hapo kocha alikua anafikiria nini?
Mpanzu alikua amechoka

Hii sub ilikua ni nzuri kama angekua ni yule Mutale anaepress kuanzia juu, mutale anaekimbia na mpira kuelekea eneo la mpinzani, kama angekua ni huyo mutale ambae tulimuona siku ya simba day na mechi kama tatu za ligi Simba ingepata penati mapema kabisa, mutale ndio kamfelisha kocha.

Sub sahihi kwa mechi kama hii ilikua ni Kibu denis aingie ila hatujamuona leo.
 
Back
Top Bottom