Leo ndio nimegundua Simba hamna kocha pale

Leo ndio nimegundua Simba hamna kocha pale

Kagera,Ken gold,prison kwa kipindi hiki kabla ya usajili ni vibonde yes(Tunaangalia current performance)...Yanga alishinda 2 tofautisha mwanzo wa ligi na huku katikati mkuu ...Simba tupu hajawahi mfunga kagera kwake misimu mitatu ya mexime pale kaitaba unafahamu hilo
Hata 3 mlipigwa na Tabora mwanzoni mwa ligi?Mlifungwa 1 na Azam mwanzoni mwa ligi?Mnaburuza mkia kwenye kundi lenu la CAF mwanzoni mwa ligi?Ken Gold mlishinda ngapi?Pamoja na goli lao kukataliwa?
 
Wanadhani mpira ni baiskeli kila mtu anajua.

JKT walitumia zaidi low block! Hii ni mbinu ngumu sana kuwafunga maana wanakuwa compact bila kuacha spaces za kushambulia.

Utatumia mipira mirefu watatoa maana inakuwa 50/50 winning possibilities.

Msiojua mpira mnaona wachezaji na kocha walifeli.

Kashabikieni pornography mpira si sehemu yenu.
waitumie kwa wananchi uone watakavyo pigwa
 
Huyu kocha hata Mimi nikikaa pale naweza fundisha huu mpira unaochezwa, match karibu 7 za Simba wanashinda kwa kubahatisha na kwa msaada wa marefa,

Kinachonishangaza ni hizo sub zake zisizoeleweka, nimeshangaa Leo anamtoa Mpanzu aliekua na shoot on target 5 anamuingiza Mutale mchezaji ambae hajawai kuprove chochote uwanjani, sasa hiyo ni akili kweli?

Hebu naomba kunielewesha wataalamu wa mpira, hapo kocha alikua anafikiria nini?
1.Mpanzu ana muda mrefu hajacheza mechi za mashindano
2. Mpanzu hajapata utimamu wa mwili kutokana na 1 hapo juu
3. Mpanzu hajatengeneza muunganiko stahiki na wenzie kutokana na ugeni
4. Mpanzu anaweza kupata majeraha Kwa kuchezeshwa dakika nyingi hizi mechi zake za mwanzo kutokana n 1 na 2 hapo juu
 
Hakuna ligi duniani wachezaji wanacheza mechi 3 ndani ya wiki 1.Yaani mechi kila baada ya mapumziko ya siku 2 pamoja na kusafiri,halafu utaraji kwamba wachezaji watakuwa kwenye level ile ile.Hakuna recovery ya kutosha wala kutrain kuweka miili sawa.
 
Hata 3 mlipigwa na Tabora mwanzoni mwa ligi?Mlifungwa 1 na Azam mwanzoni mwa ligi?Mnaburuza mkia kwenye kundi lenu la CAF mwanzoni mwa ligi?Ken Gold mlishinda ngapi?Pamoja na goli lao kukataliwa?
Mpira umeanza kuangalia Jana au pombe zimekupanda,mwanzo mwa ligi Simba alishenyetwa vibaya mno ....kengold nilipata point 3 natamba

Endeleeni kubebwa Mech Vs Dodoma jiji,Azam ni ushahidi WA niliongea usilete mapenzi hapa ongea fact
 
Mpira umeanza kuangalia Jana au pombe zimekupanda,mwanzo mwa ligi Simba alishenyetwa vibaya mno ....kengold nilipata point 3 natamba

Endeleeni kubebwa Mech Vs Dodoma jiji,Azam ni ushahidi WA niliongea usilete mapenzi hapa ongea fact
Alishenyetwa vibaya mno mwanzoni mwa ligi akapoteza mechi ngapi?Na Utopolo kapoteza mechi ngapi?Nisije nikawa naongea na mtu alikuwa jela.Mechi na Coastal mlibebwa,mechi na Simba mlibebwa.Umewahi kumsikia Kayoko akichezesha tena?Mechi na Ken Gold mlibebwa.
 
1.Mpanzu ana muda mrefu hajacheza mechi za mashindano
2. Mpanzu hajapata utimamu wa mwili kutokana na 1 hapo juu
3. Mpanzu hajatengeneza muunganiko stahiki na wenzie kutokana na ugeni
4. Mpanzu anaweza kupata majeraha Kwa kuchezeshwa dakika nyingi hizi mechi zake za mwanzo kutokana n 1 na 2 hapo juu
Ila mutale yeye kayafanikisha yotee? Kapata muunganiko, Kila kitu mbona ni kiazi TU na anachokifanya akieleweki au kujulikana?
 
Alishenyetwa vibaya mno mwanzoni mwa ligi akapoteza mechi ngapi?Na Utopolo kapoteza mechi ngapi?Nisije nikawa naongea na mtu alikuwa jela.Mechi na Coastal mlibebwa,mechi na Simba mlibebwa.Umewahi kumsikia Kayoko akichezesha tena?Mechi na Ken Gold mlibebwa.
Akapoteza tenah mech na Yanga ligi kuu,Yanga kalose mech 2 Ambapo 1 walikuwa pungufu ...Mech na Simba tulibebwa wapi Hamza hukuona alistahili Kadi nyekundu ?,hukuona refa aliwabeba kwa camara huoni eh

Kayoko kachezesha mechi ya SINgida black stars ambayo itawashenyenta Vs Dodoma jiji na black stars walishinda 2 kwa 1., December 12,2024 je derby mlikuwa hamjacheza bado,,unahisi mpira tunaangaliaga highlights kama ww
 
Huyu kocha hata Mimi nikikaa pale naweza fundisha huu mpira unaochezwa, match karibu 7 za Simba wanashinda kwa kubahatisha na kwa msaada wa marefa,

Kinachonishangaza ni hizo sub zake zisizoeleweka, nimeshangaa Leo anamtoa Mpanzu aliekua na shoot on target 5 anamuingiza Mutale mchezaji ambae hajawai kuprove chochote uwanjani, sasa hiyo ni akili kweli?

Hebu naomba kunielewesha wataalamu wa mpira, hapo kocha alikua anafikiria nini?
Kwani kocha alikuwa anacheza namba ngapi leo? Kuwa na heshima boss, kama huyo Elie Mpanzu alikuwa na uwezo alishindwa nini kufunga kwenye hizo shoti onitageti?
 
Akapoteza tenah mech na Yanga ligi kuu,Yanga kalose mech 2 Ambapo 1 walikuwa pungufu ...Mech na Simba tulibebwa wapi Hamza hukuona alistahili Kadi nyekundu ?,hukuona refa aliwabeba kwa camara huoni eh

Kayoko kachezesha mechi ya SINgida black stars ambayo itawashenyenta Vs Dodoma jiji na black stars walishinda 2 kwa 1., December 12,2024 je derby mlikuwa hamjacheza bado,,unahisi mpira tunaangaliaga highlights kama ww
Akichezesha mechi ya Simba wewe mvimba macho.Kwa hiyo mkifungwa mkiwa pungufu hujashindwa?Na JKT mlishinda au hamkushinda wakiwa pungufu baada ya kutolewa golikipa wao dakika ya 57.
Au kisingizio cha kuwa pungufu ni nyie tu?
Ngebe nyingi huku mnaburuza mkia au na huko mlikuwa pungufu?
Wacheni mpira wa mdomoni.Mlichapwa mkafukuza kocha na CAF vipigo vikaendelea.
 
Kwani kocha alikuwa anacheza namba ngapi leo? Kuwa na heshima boss, kama huyo Elie Mpanzu alikuwa na uwezo alishindwa nini kufunga kwenye hizo shoti onitageti?
Kocha hajui kitu, hajacheza namba yoyote, lakini kumuingiza mutale ni upuuzi kafanya, game ya singida big star ni ngumu sana lakini ghafla utaona kikosi chake
 
Kocha hajui kitu, hajacheza namba yoyote, lakini kumuingiza mutale ni upuuzi kafanya, game ya singida big star ni ngumu sana lakini ghafla utaona kikosi chake
Ila mkuu ukweli usemwe, Sisi Simba hatuna timu pale tumekosa magoli ya wazi mno. Ni ninavyoona kuna mechi kama 3 kama hatutakaa sawa tutasare maua!
 
Akichezesha mechi ya Simba wewe mvimba macho.Kwa hiyo mkifungwa mkiwa pungufu hujashindwa?Na JKT mlishinda au hamkushinda wakiwa pungufu baada ya kutolewa golikipa wao dakika ya 57.
Au kisingizio cha kuwa pungufu ni nyie tu?
Ngebe nyingi huku mnaburuza mkia au na huko mlikuwa pungufu?
Wacheni mpira wa mdomoni.Mlichapwa mkafukuza kocha na CAF vipigo vikaendelea.
Nishakuzidi kwa hoja unapumulia mashine ,naona unaongea pumba Tu ...Unawapangia bodi ya ligi kayoko achezeshe mechi ya Simba nasema you are hopeless mbona hajachezesha ya Azam nimekupa mech unahangaika kama maharage yasiova...Round ya 2 nitakushenyenta kwa timu hii Tia maji Tia maji...pita hivi

Soma hapa chini
Thread 'Kama Kocha Fahdu analipwa mamilioni kwa mpira huu basi viongozi wa Simba mjitafakari sana' Kama Kocha Fahdu analipwa mamilioni kwa mpira huu basi viongozi wa Simba mjitafakari sana
 
Huyu kocha hata Mimi nikikaa pale naweza fundisha huu mpira unaochezwa, match karibu 7 za Simba wanashinda kwa kubahatisha na kwa msaada wa marefa,

Kinachonishangaza ni hizo sub zake zisizoeleweka, nimeshangaa Leo anamtoa Mpanzu aliekua na shoot on target 5 anamuingiza Mutale mchezaji ambae hajawai kuprove chochote uwanjani, sasa hiyo ni akili kweli?

Hebu naomba kunielewesha wataalamu wa mpira, hapo kocha alikua anafikiria nini?
Zaidi ya kuangalia kwenye tv, una experience yoyote ya ukocha?
 
Back
Top Bottom