Hata 3 mlipigwa na Tabora mwanzoni mwa ligi?Mlifungwa 1 na Azam mwanzoni mwa ligi?Mnaburuza mkia kwenye kundi lenu la CAF mwanzoni mwa ligi?Ken Gold mlishinda ngapi?Pamoja na goli lao kukataliwa?Kagera,Ken gold,prison kwa kipindi hiki kabla ya usajili ni vibonde yes(Tunaangalia current performance)...Yanga alishinda 2 tofautisha mwanzo wa ligi na huku katikati mkuu ...Simba tupu hajawahi mfunga kagera kwake misimu mitatu ya mexime pale kaitaba unafahamu hilo