Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Awali walisema timu hakuna.Halafu wakasema inajitafuta.Sasa hakuna kocha.Tunapoelekea watasema haina mfadhili.Ilimradi nongwa tu.Iko nafasi ya ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awali walisema timu hakuna.Halafu wakasema inajitafuta.Sasa hakuna kocha.Tunapoelekea watasema haina mfadhili.Ilimradi nongwa tu.Iko nafasi ya ngapi?
Pole kwa mateso unayopata...Huyu kocha hata Mimi nikikaa pale naweza fundisha huu mpira unaochezwa, match karibu 7 za Simba wanashinda kwa kubahatisha na kwa msaada wa marefa,
Kinachonishangaza ni hizo sub zake zisizoeleweka, nimeshangaa Leo anamtoa Mpanzu aliekua na shoot on target 5 anamuingiza Mutale mchezaji ambae hajawai kuprove chochote uwanjani, sasa hiyo ni akili kweli?
Hebu naomba kunielewesha wataalamu wa mpira, hapo kocha alikua anafikiria nini?
Na kama unakumbuka jkt Tanzania hawajaruhusu goli kwenye match takribani Tano nyuma, kwahiyo Moja Kwa Moja game ilikua tough, fadlu sijui anafikiria nini yeye akamuingiza mchezaji ambae Hana impact yoyote, hata kule Kagera, Yale magoli mawili ni kutokana na sub zake za kiwaki.Mutale ashakuwa failure kwa mechi kariba 5 zilizopita,lakini sijui why kocha anamwingiza uwanjani maana kila mechi hana jipya,hafikishi pass,anapoteza mipira,hana assist,hana goli ,mtu kama huyo wa kazi gani kumwungiza na timu haina hata goli.
Unateseka ukiwa wapi ndugu?Sio kocha tu.. kiujumla hamna timu pale
Unaona kabisa Mutale anapoteza mpira hivi hivi halafu wengine wanaanza kuutafuta upya,pass za hovyo,akitoa pass haifiki au anaweka sehemu ambayo mwingine hafiki,sometimes anakuwa mchoyo anadribble na kupoteza mpira,ni mcheza ambaye hapigi shuti goli ni kukokota tu mpiraNa kama unakumbuka jkt Tanzania hawajaruhusu goli kwenye match takribani Tano nyuma, kwahiyo Moja Kwa Moja game ilikua tough, fadlu sijui anafikiria nini yeye akamuingiza mchezaji ambae Hana impact yoyote, hata kule Kagera, Yale magoli mawili ni kutokana na sub zake za kiwaki.
Ukikutana na utopolo yeyote umwambie naomba atukumbushe wapo nafasi ya ngapi kwenye kundi lao kombe la mabingwa Afrika?Maumivu wanayopitia Utopolo leo ni kama yale yaliyoeapata Cs Sfaxen
Mwiko upo nyuma + Sonona ya kuburuza mkia klabu bingwa Afrika + Ushindi wa Simba SC mfululizo + Ubovu wa kocha wa utopolo = Kuweweseka kusiko mithilika kwa utopolo/nyuma kuna mwiko/vyura.Mashabiki wa utopolo matokeo yanawauma mkiwa wapi
Sio kocha tu.. kiujumla hamna timu pale
Kahera kibonde..nyie mlimdunha moja na goli lao kukataliwaTimu bado hii,Wanashinda ila kwa mbinde kwl kama ulivosema japo wanajificha kwenye kivuli cha kushinda goli nyiingi kwa vibonde...Wapo mashabiki wa Simba watapinga ila angalia sana sana kipindi Cha pili timu ikikutana na watu compact Haina plan B.....
Mutale mm naona tu ana presha na watu wanataka matokeo ni either wenzie wamsaidie kumrudisha katika ubora kama Dube huku Yanga au kila siku watalalamika
Kagera,Ken gold,prison kwa kipindi hiki kabla ya usajili ni vibonde yes(Tunaangalia current performance)...Yanga alishinda 2 tofautisha mwanzo wa ligi na huku katikati mkuu ...Simba tupu hajawahi mfunga kagera kwake misimu mitatu ya mexime pale kaitaba unafahamu hiloKahera kibonde..nyie mlimdunha moja na goli lao kukataliwa
Mwangalie gongowazi mwingine karukia mada bila kuelewa.Alikuwa anazungumzia kipara ndio akajibiwa umeshamuona Arjen Roben?Wacha kukurupuka baada ya kuvimbiwa na mihogo.Kwaiyo Mpanzu Arjen Roben!! 😄😄Kwa hakika mmetisha.