Leo ndio nimegundua Simba hamna kocha pale

Leo ndio nimegundua Simba hamna kocha pale

Mpanzu alikua amechoka

Hii sub ilikua ni nzuri kama angekua ni yule Mutale anaepress kuanzia juu, mutale anaekimbia na mpira kuelekea eneo la mpinzani, kama angekua ni huyo mutale ambae tulimuona siku ya simba day na mechi kama tatu za ligi Simba ingepata penati mapema kabisa, mutale ndio kamfelisha kocha.

Sub sahihi kwa mechi kama hii ilikua ni Kibu denis aingie ila hatujamuona leo.
Kwaiyo kwa kipala kile unategemea aendelee kuwa na Nguvu kama mwanzo.
Miaka 22 ana upara, apa mbumbumbu fc mmepigwa😄😄
 
Naona bado kocha na uongozi una matumaini na Mutale ila ukweli ni kuwa huu haukuwa usajili sahihi.

Katika wachezaji zaidi ya 14 kukosea mmoja mbona siyo kesi. Muhimu ni uongozi kutambua hilo mapema badala ya kulazimisha mambo. Inawezekana huko kambini ni mcheshi na wanajisikia vibaya kumuacha ila maslahi ya timu yazingatiwe pia.
 
Huyu kocha hata Mimi nikikaa pale naweza fundisha huu mpira unaochezwa, match karibu 7 za Simba wanashinda kwa kubahatisha na kwa msaada wa marefa,

Kinachonishangaza ni hizo sub zake zisizoeleweka, nimeshangaa Leo anamtoa Mpanzu aliekua na shoot on target 5 anamuingiza Mutale mchezaji ambae hajawai kuprove chochote uwanjani, sasa hiyo ni akili kweli?

Hebu naomba kunielewesha wataalamu wa mpira, hapo kocha alikua anafikiria nini?
Kocha ana mbinu sana, baada ya kuona mbinu za kupigia mbali zimefeli, kete ya mwisho ni kutumia faul kwa kuwa anae mpigaj mzur wa faul (Charles Ahoua), hivyo akamwingiza Mutale ambaye anauwezo wa ku drible katikati ya mabeki hivyo kufanya achezewe rough na kusabaisha faul.....Sisi makocha tu ndo tunaelewa vitu kama hivi..
 
Huyu kocha hata Mimi nikikaa pale naweza fundisha huu mpira unaochezwa, match karibu 7 za Simba wanashinda kwa kubahatisha na kwa msaada wa marefa,

Kinachonishangaza ni hizo sub zake zisizoeleweka, nimeshangaa Leo anamtoa Mpanzu aliekua na shoot on target 5 anamuingiza Mutale mchezaji ambae hajawai kuprove chochote uwanjani, sasa hiyo ni akili kweli?

Hebu naomba kunielewesha wataalamu wa mpira, hapo kocha alikua anafikiria nini?
Wewe unafundisha timu gani ya watoto hapo mtaani kwenu?
 
2f575a8a1c4345c09a02dd0623dab2d4.jpg
 
Huyu kocha hata Mimi nikikaa pale naweza fundisha huu mpira unaochezwa, match karibu 7 za Simba wanashinda kwa kubahatisha na kwa msaada wa marefa,

Kinachonishangaza ni hizo sub zake zisizoeleweka, nimeshangaa Leo anamtoa Mpanzu aliekua na shoot on target 5 anamuingiza Mutale mchezaji ambae hajawai kuprove chochote uwanjani, sasa hiyo ni akili kweli?

Hebu naomba kunielewesha wataalamu wa mpira, hapo kocha alikua anafikiria nini?
Simba wanalazimishwa kuchukua ubingwa.
 
Wanadhani mpira ni baiskeli kila mtu anajua.

JKT walitumia zaidi low block! Hii ni mbinu ngumu sana kuwafunga maana wanakuwa compact bila kuacha spaces za kushambulia.

Utatumia mipira mirefu watatoa maana inakuwa 50/50 winning possibilities.

Msiojua mpira mnaona wachezaji na kocha walifeli.

Kashabikieni pornography mpira si sehemu yenu.
Kwahyo low block ndio unamtoa mpanzu mwenye shoot on target 5 unamuweka mutale ambaye hajawai kuprove chochote, kwamba huyo mutale kaingia kwa sababu gani? Kuifungua hiyo low block?
 
Kwaiyo kwa kipala kile unategemea aendelee kuwa na Nguvu kama mwanzo.
Miaka 22 ana upara, apa mbumbumbu fc mmepigwa😄😄
Vipi wale wazee wenu wanaosinzia benchi mpira ukiendelea wanaendeleaje huko
 
Mpanzu alikua amechoka

Hii sub ilikua ni nzuri kama angekua ni yule Mutale anaepress kuanzia juu, mutale anaekimbia na mpira kuelekea eneo la mpinzani, kama angekua ni huyo mutale ambae tulimuona siku ya simba day na mechi kama tatu za ligi Simba ingepata penati mapema kabisa, mutale ndio kamfelisha kocha.

Sub sahihi kwa mechi kama hii ilikua ni Kibu denis aingie ila hatujamuona leo.
At least wewe umeongea
 
Kwahyo low block ndio unamtoa mpanzu mwenye shoot on target 5 unamuweka mutale ambaye hajawai kuprove chochote, kwamba huyo mutale kaingia kwa sababu gani? Kuifungua hiyo low block?
Mutale ashakuwa failure kwa mechi kariba 5 zilizopita,lakini sijui why kocha anamwingiza uwanjani maana kila mechi hana jipya,hafikishi pass,anapoteza mipira,hana assist,hana goli ,mtu kama huyo wa kazi gani kumwungiza na timu haina hata goli.
 
Back
Top Bottom