Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
Moja ya sub ya hovyo kabsa aliyoifanyaHuyu kocha hata Mimi nikikaa pale naweza fundisha huu mpira unaochezwa, match karibu 7 za simba wanashinda kwa kubahatisha na kwa msaada wa marefa...
Mpanzu alikuwa amechokaMoja ya sub ya hovyo kabsa aliyoifanya
Lakini naona alikua Bado na impact mzee, jamaa kapiga shoot on target nyingiMpanzu alikuwa amechoka
Kutokukubali ukweli ndio kunakufelisha kijanaKafundishe wewe mjuaji wa njombe🚮😁
Labda akafundishe kuiba mahindi kwenye mashamba ya shuleKafundishe wewe mjuaji wa njombe🚮😁
Wanadhani mpira ni baiskeli kila mtu anajua.Labda akafundishe kuiba mahindi kwenye mashamba ya shule
Hawawezi elewa ...Wanadhani mpira ni baiskeli kila mtu anajua.
JKT walitumia zaidi low block! Hii ni mbinu ngumu sana kuwafunga maana wanakuwa compact bila kuacha spaces za kushambulia...
Kama zile mlizomfunga Kengold suo?Wakikutana na yanga watakandwa nyingi hao
Uyo Mpanzu ndio anakatisha tamaa, maana yeye ameongezwa ili aongeze Nguvu ila akipiga mpira ata mtoto ana daka.Lakini naona alikua Bado na impact mzee, jamaa kapiga shoot on target nyingi
Aha ha ha sasa mutale asicheze kaja TZ Kufanya niniWanadhani mpira ni baiskeli kila mtu anajua.
JKT walitumia zaidi low block! Hii ni mbinu ngumu sana kuwafunga maana wanakuwa compact bila kuacha spaces za kushambulia.
Utatumia mipira mirefu watatoa maana inakuwa 50/50 winning possibilities.
Msiojua mpira mnaona wachezaji na kocha walifeli.
Kashabikieni pornography mpira si sehemu yenu.
Mbaaf wahedHuyu kocha hata Mimi nikikaa pale naweza fundisha huu mpira unaochezwa, match karibu 7 za Simba wanashinda kwa kubahatisha na kwa msaada wa marefa,
Kinachonishangaza ni hizo sub zake zisizoeleweka, nimeshangaa Leo anamtoa Mpanzu aliekua na shoot on target 5 anamuingiza Mutale mchezaji ambae hajawai kuprove chochote uwanjani, sasa hiyo ni akili kweli?
Hebu naomba kunielewesha wataalamu wa mpira, hapo kocha alikua anafikiria nini?
Vipi Said ameweza kufanya sub😂😂Mbaaf wahed
Kila siku mnagundua tu
Mpanzu alikua amechokaHuyu kocha hata Mimi nikikaa pale naweza fundisha huu mpira unaochezwa, match karibu 7 za Simba wanashinda kwa kubahatisha na kwa msaada wa marefa,
Kinachonishangaza ni hizo sub zake zisizoeleweka, nimeshangaa Leo anamtoa Mpanzu aliekua na shoot on target 5 anamuingiza Mutale mchezaji ambae hajawai kuprove chochote uwanjani, sasa hiyo ni akili kweli?
Hebu naomba kunielewesha wataalamu wa mpira, hapo kocha alikua anafikiria nini?