I Inch 9 JF-Expert Member Joined Sep 9, 2024 Posts 1,093 Reaction score 1,365 Dec 25, 2024 #81 zipompa said: waitumie kwa wananchi uone watakavyo pigwa Click to expand... Mlishinda 2 bila huku golikipa akionyeshwa kadi nyekundu kipindi chote cha pili hamkuweza kupata goli unakumbuka?
zipompa said: waitumie kwa wananchi uone watakavyo pigwa Click to expand... Mlishinda 2 bila huku golikipa akionyeshwa kadi nyekundu kipindi chote cha pili hamkuweza kupata goli unakumbuka?
I Inch 9 JF-Expert Member Joined Sep 9, 2024 Posts 1,093 Reaction score 1,365 Dec 25, 2024 #82 Mundele Makusu said: Mpira umeanza kuangalia Jana au pombe zimekupanda,mwanzo mwa ligi Simba alishenyetwa vibaya mno ....kengold nilipata point 3 natamba Endeleeni kubebwa Mech Vs Dodoma jiji,Azam ni ushahidi WA niliongea usilete mapenzi hapa ongea fact Click to expand... Hesabu na za yanga tena anza na mechi ya simba hivi kayoko yupo?
Mundele Makusu said: Mpira umeanza kuangalia Jana au pombe zimekupanda,mwanzo mwa ligi Simba alishenyetwa vibaya mno ....kengold nilipata point 3 natamba Endeleeni kubebwa Mech Vs Dodoma jiji,Azam ni ushahidi WA niliongea usilete mapenzi hapa ongea fact Click to expand... Hesabu na za yanga tena anza na mechi ya simba hivi kayoko yupo?
Mundele Makusu JF-Expert Member Joined Sep 28, 2021 Posts 2,488 Reaction score 3,481 Dec 25, 2024 #83 Inch 9 said: Hesabu na za yanga tena anza na mechi ya simba hivi kayoko yupo? Click to expand... Kayoko yupo wapi ,Sijakuelewa mkuu
Inch 9 said: Hesabu na za yanga tena anza na mechi ya simba hivi kayoko yupo? Click to expand... Kayoko yupo wapi ,Sijakuelewa mkuu