Leo ndio nimejua kwanini TANESCO wamegoma kushusha bei ya umeme hata baada ya Bwawa kuanza kazi mwakani

We we ndiyo jinga kabisa.unakimbilia kuuza nje wakati ndani kwako bei ya umeme ni juu na baadhi ya wananchi hawajaungwa
 
Wewe jamaa unakichwa kizito sana hivi megawatt 2100 ukiziachia zikafanye kazi sizitazalisha pesa nyingi sana zakuweza kufanyia hizo maintenance na kulipa deni kama ukiziuza Ili ulipe deni unakua unafanya Nini Sasa si Bora usinge kopa tu.
 
Wewe jamaa unakichwa kizito sana hivi megawatt 2100 ukiziachia zikafanye kazi sizitazalisha pesa nyingi sana zakuweza kufanyia hizo maintenance na kulipa deni kama ukiziuza Ili ulipe deni unakua unafanya Nini Sasa si Bora usinge kopa tu.
Pesa nyingi zinazozalishwa zinapaswa kuuchangia mradi ili uendelee na usije kufa mwishoni.
 
Walisemaga ukistaajabu ya Mussa utayaona ya firauni !! Huu utakuwa uonevu uliopitiliza kama itakuwa hivyo alivyosema Maharage !
 
Hisia ni kitu kibaya sana.

Umeandika mambo ya nadharia yasio na chembe ya ukweli. Hicho cha bei kutoshuka kinawezekana, ila umeme uuzwe halafu ela apokee mtu mwingine hilo sahau.
Inawezakana kupokea mtu mwingine. CCM haishindwi jambo
Inaonekana ulikuwa nje ya nchi na umerudi
 
Sasa unabishia Nini?
Nikuulize wewe? Unaetaka umeme uwe rahisi tu bila kuzingatia kuna gharama za uzalishaji pamoja na matengenezo ya mradi/ vifaa ambayo hayo yanaangalia thamani ya hela na hali ya uchumi sio unafuu wa mradi
 
Sema kama JamiiForums ndo wanaojiita great thinkers wana mawazo kama haya πŸ€”
Wanafikiri hivi, na kutoa point zao kwa style hii,
Wanajua kuzusha majungu hivi,

Bas ni halali bandari apewe mwarabu tu
 
We we ndiyo jinga kabisa.unakimbilia kuuza nje wakati ndani kwako bei ya umeme ni juu na baadhi ya wananchi hawajaungwa

Ko mkuu mimi sahizi nikipata deal la kuwekeza kenya umeme nianze kuuliza nawekezaje kenya wakati Nanjilinji hakuna umeme?
Kwani mimi serikali ?
Huyo dogo ni mtu binafsi, aweke mpunga wake asipangiwe pa kuwekeza akitaka kuwauzia hata Malawi na sawa tu, sisi tubanane na Tanesco kwanini Nanjilinji hakuna umeme
 
Ukisema uikosoe serikali wewe ndio unaonekana mbaya, kwa sababu ksingizio kikubwa kilichokuwa kinafanya wawekezaji wasije kuanzisha viwanda Tanzania ni kutokana na uhaba wa nishati. Sasa kama umeme unaajitosheleza kwa nini wasivutie hao wawekezaji waje kuanzisha viwanda hususani manufacturing na assembly plants hapa Tanzania? Au ndio kusema viongozi wetu wanafikiria maslahi yao binafsi? Maana hata sisi wawekezaji wazawa huwa tunaletewa urasimu mwingi tukitaka kuwekeza kutokana na uelewa finyu wa watendaji.
 
Hivi mbona unajisumbua kubishana na majitu mapumbafu Ina maana kwa umri alionao hajui hata Kodi inakusanywa vipi yaani Kuna wananchi wengine ni hasara
Yaani nimecheki comment zake zilizofuata ndio nikaona huyu yupo hapa kuvuruga majadiliano, nimemuweka kwenye ignore..., hata sioni tena comment zake
 
Haya Wai pengo akakupe posho yako
 
Atokeee
E
 
Na ndio lengo la mradi hilo, bei ya umeme ishuke ili wawekezaji wakimbile fursa ya nishati ya bei nafuu kuamzisha vinwanda. Sasa kama bei haishuki, huu mradi una faida gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…