Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Nisamehe bureHilo la mimi kuwa boya no problem ila kwenye uzi wake kasema yeye kamaliza chuo.
Kwa hiyo kule mtaa wa pili unanipanga sioπ?Kumtumia pesa mtu sio mchezo jamani
Hiyo namba leo labda azimishe huo usumbufu atakaopewa na majobless π€£[emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiii
Umekumbuka nini au mafisi yalikutenda?Wanaume wameumbiwa mateso, nimekumbuka kitu ila haya maisha bas tyuu.
Jibu hilo atajaza mwenyewe nafikiri.Mtu mwenye mahusiano hawezi kupata shida kama ya mleta mada?
Hao wanaume, mimi umeniomba km mdogo wako na nna pesa kweli why nisikupe? πKwa hiyo kule mtaa wa pili unanipanga sioπ?
Waache wapigwe hawa watoto akina ephen_ wana pesa za kichezea chezea hizo buku 2 au 3 kuchanga changa kwao sio issueephen_ nimekaa kwenye matumizi ya internet kwa muda mrefu kidogo kuliko wewe, niamini mimi huyu mtu ni scammer. Kama unafatiliaga visa vyake ambavyo vingi kashavifuta na hata hiki i know atakifuta, you will just land yourself to the same conclusion.
Kudanga,,,mfano Mtu kavuna shamba lake la mahindi au mpunga,Kuna wale wavivu wa Kijiji wanapita nyuma kukusanya kusanya mabaki ,hiyo ndio asili ya neno kudanga......NimekumisoHivi tafsiri ya kudanga hasa ni ipi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu cjui mna nn lakini.Mwandiko wako una utata sana kamanda, unaandika kama me kabisa aisee.
Wenye nacho wakuchangie,ila jf ina unafki wa kiwango cha sgr ama kweli hii ni jamii.
Huyu angekua Me angepopolewa si mchezo, kajitambulisha kama ke, vijana wa hovyo wametaka namba, wamepewa sijui kama watachangia zaidi ya usumbufu.
Pm ya kijana itakua busy sana muda huu, simu zitapigwa, kuna kajamaa pale juu kamejitolea kummliki kabisa ati kapo temeke sijui, alooo kufa kufaana.
Haijui JF, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikushauri kitu? Futa namba yako unajichoresha hamna watuma pesa humu.
Aliye serious atakufata pm kukusaidia
Una akili sana chief.Ahsante kwa kumbukizi ya mleta mada.
Humu kupigwa ni nje nje nikikumbuka nilipewa hadi namba ya kike na nikapiga simu nikaongea na mwanamke lakini kumbe ni mwanaume kaseti mchongo ili asiumbuke napata ukakasi sana.
Hii ID kuna kitu kinaniambia ni ya kidney.
Sasa hivi mapenzi yameacha kuuma,umeachana nayo..umekutana na maisha halisi sasa ya kutafuta
Mshauri nae njaa kali,πππ tutafika tu bado kidogo, ila si tulikubaliana kwamba kila mtu humu ni Doni au mmeanza kusaliti chamaUnatuambia sisi ili iweje?
Unapoelekea unaenda kutiwa mimba na bodaboda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji849][emoji849][emoji849] Hii course imefika lini Tz
Una akili sana chief.
Hata kujibadilosha bado hawezi, nimemgundua mapema tu toka post ya kwanza[emoji16]
Halafu amesoma course inaitwa mnaendeleaje ya jamii, alooooooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125]
Ni nadra sana,tena sana kumkuta mtoto wa kike akitumia hayo maneno,bro??? ,hiiii wadanganye.
, nachofanya nikitoka kazini nashukia kwa brother nakuta wamepika nakula naondoka
bro kasema yeye hana hela hawezi kuwa anatoa hela mara mbili