Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

Mimi hainishtui ndugu Hakuna jipya hapo.. wewe endelea kupoteza muda wa kujibizana uache kulala
Acha ujinga kaka. Hiyo ni laana unajitafutia bure.
Kwanza vipi yule mmeo uliekuwa unaishi nae magomeni, bado amesafiri au karudi😁
 
Usikate tamaa, yote yatapita tu na kubaki historia muda sahihi ukiwadia.
 
Sasa mambo ya ban tena yametoka wapo Mods?
 
Reactions: 511
Siyo wote lakini, nimekuwa na mwanamke hajali kabisa pesa, yeye anajali uwepo, ile mwanaume kuongoza na kuweza kutatua changamoto (ku fix gari, computer, washing machine n.k)
Huyo si unaishi naye ndiomana
 
Sawa basi endelea kushusha povu na usilolijua Kuna watu humu tumeshaonana kwa macho wanakushangaa tu unavokaa kubishana


Endelea mkuu ukichoka utalala
Anonymity feature ya JF isiwafanye mkawa matapeli wa mitandaoni. Acheni mitandao iwe salama ya watu kuja ku socialize na kujifunza mambo mapya. Msituletee utapeli humu.
 
Nitumie picha ya tako lako PM nione naweza kukusaidia vipi.
 
Acha ujinga kaka. Hiyo ni laana unajitafutia bure.
Kwanza vipi yule mmeo uliekuwa unaishi nae magomeni, bado amesafiri au karudi[emoji16]

Daah ila kuna watu wanatafutaga shari kwa nguvu najua mwanaume ukiitwa shoga itakuuma ila mimi ni mwanamke ukiniita mwanaume hata sichukii sasa ndugu usianze kunichochea na Mimi nirudishe mpira kwako nikulazimishe wewe ni wa kike while unajijua wewe ni jinsi ipi

Niko positive sitokukejeli ila wewe endelea ukichoka utalala
 
Peaky blinders hajawahi ibiwa na boya kama wewe hapa jf.
  • nilikuumbua watu wakakujua na kutoa shuhuda zao hapa hapa jf.
  • Hata Savanna 4 ulizoomba nilikunyima
-Uliomba elfu 10 uunge bando nikakunyima
Acha huu ujinga kaka.
🤣🤣🤣
 
Reactions: 511
Sawa basi endelea kushusha povu na usilolijua Kuna watu humu tumeshaonana kwa macho wanakushangaa tu unavokaa kubishana


Endelea mkuu ukichoka utalala
Hakika hata kunena kwako, wewe ndie.
Hili ni jibu maarufu sana la figo.
 
Ndio mimi nimeomba ushauri, sote kwa pamoja tuwaze namna nzuri ya kucross check kama waomba misaada wanahitaji kweli msaada, either kupitia kwa wenye jamii forums au any verified figures wa humu (kama walivyo akina Malisa kule insta) kusudi wenye kuomba msaada basi wapate msaada, na watoa msaada watoe kwa kujua pesa yao inagusa hitaji la mtu.

Naelewa kuwa hata mtu awe na pesa nyingi kiasi gani hatapenda kumpa mtu muongo/tapeli. Binafsi kuna kakijana humu kalisema kama mke amejifungua na kazi imesimama, hawana hata hela ya chakula, nikafikiria njaa inavyouma wakati wa kunyonyesha ngoja nichangie mwanamke mwenzangu apone, looh! Hako kakijana kalikuja kuumbuliwa humu kuwa kana uraibu wa kubeti, hakana mke wala mtoto wa mchanga! What a waste..

Naelewa changamoto za utapeli, lakini humo humo kuna wenye shida kweli, hatuwezi kumaliza matatizo ya watu ila tunaweza kuelevate situations hata kwa masaa kadhaa.

Sijasema huyu achangiwe, namaanisha JF kama Community tunaweza kupata namna nzuri ya wenye uhitaji kusaidiwa.
 
Anonymity feature ya JF isiwafanye mkawa matapeli wa mitandaoni. Acheni mitandao iwe salama ya watu kuja ku socialize na kujifunza mambo mapya. Msituletee utapeli humu.

Mkuu Kama una ushahidi si uweke hapa au tuma kwa moderator wanipige ban mbona unatunga tunga story
 
Thread hii na ile zina contents tofauti kwaiyo hata mbinu za kukabiliana na situation husika lazima ziwe tofauti. Angeonekana wa ajabu kama angekua na mawazo tofauti katika thread moja.
Ishu siyo content ya thread ishu ni mtazamo alioko nao kichwani kwake, kwahiyo solution ya kukabiliana na hiyo situation ni kudanga mbona wanawake wenzie wengi hawajamshauri hivyo mtoa mada, halafu na wewe si huwa uko against wanawake wanaodanga au umeshindwa kupambana nao umeamua kuungana nao tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…