Acha ujinga kaka. Hiyo ni laana unajitafutia bure.Mimi hainishtui ndugu Hakuna jipya hapo.. wewe endelea kupoteza muda wa kujibizana uache kulala
Usikate tamaa, yote yatapita tu na kubaki historia muda sahihi ukiwadia.Hapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini
Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki hivyo tumebaki na mama tu.. hao ndugu zangu wote hawana maisha ya kueleweka isipokuwa mmoja tu angalau yeye ameajiliwa serikalini ndio kidogo anaibeba familia, yeye ameshaoa ana familia yake
Mimi nimeshahitimu chuo nina kama Miaka miwili nyumbani.. nimepata sehemu ya kujishikiza wananilipa 250000.. Kwetu ni bunju nafanyia kazi magomeni kila siku natumia 5000 yaani 3000 nauli 2000 nakula mchana hapo Ndio najibana mno..
Sasa kwasasa Hivi nyumbani Hakuna mtu nipo peke yangu mama ameenda kijijini kwao bibi anaumwa, mama yangu hana kazi ile ya kumtegemea anauza chupa za maji hivyo siwezi kumsumbua kwa chochote, amesafiri hajaniachia hata shilingi 100.. Hakuna chakula ndani Hakuna chochote, nachofanya nikitoka kazini nashukia kwa brother nakuta wamepika nakula naondoka
Leo nimeumia sana sijaenda kazini Nina siku 2 sina nauli hela niliokuwa nayo akiba imeisha nimemuomba bro kasema yeye hana hela hawezi kuwa anatoa hela mara mbili mbili kwa familia yake na kwangu, Kama niliweza kutafuta kazi basi nijitegemee nauli nikitaka kula nije nyumbani,, nikamuuliza sasa nitatoa wapi na Ndio naanza kazi akanijibu nitajua mwenyewe
Hiyo kauli imeniuma yaani anamaana gani kusema nipambane nitafute nauli yaani naitafutia wapi ..
Leo nimeacha kuwa judge Watu na maisha wanayoishi Kama ndugu yangu wa damu ananiambia maneno haya hao wa nnje watanijibu vipi
Ni hayo tu wakuu
Kwa hiyo mpenzi wako hawezi kukusapoti jamani..
Utakapoanza kupokea fanya ivyo.Bado sijaanza kupokea hela
🤣🤣🤣🤣Bado sijaanza kupokea hela
Huyo si unaishi naye ndiomanaSiyo wote lakini, nimekuwa na mwanamke hajali kabisa pesa, yeye anajali uwepo, ile mwanaume kuongoza na kuweza kutatua changamoto (ku fix gari, computer, washing machine n.k)
Eeee achana nae tafuta mwingine, sa jianaume la hivo la nin.Ameninyima.. nilimueleza hali halisi kanikalia kimya
Anonymity feature ya JF isiwafanye mkawa matapeli wa mitandaoni. Acheni mitandao iwe salama ya watu kuja ku socialize na kujifunza mambo mapya. Msituletee utapeli humu.Sawa basi endelea kushusha povu na usilolijua Kuna watu humu tumeshaonana kwa macho wanakushangaa tu unavokaa kubishana
Endelea mkuu ukichoka utalala
Nitumie picha ya tako lako PM nione naweza kukusaidia vipi.Hapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini
Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki hivyo tumebaki na mama tu.. hao ndugu zangu wote hawana maisha ya kueleweka isipokuwa mmoja tu angalau yeye ameajiliwa serikalini ndio kidogo anaibeba familia, yeye ameshaoa ana familia yake
Mimi nimeshahitimu chuo nina kama Miaka miwili nyumbani.. nimepata sehemu ya kujishikiza wananilipa 250000.. Kwetu ni bunju nafanyia kazi magomeni kila siku natumia 5000 yaani 3000 nauli 2000 nakula mchana hapo Ndio najibana mno..
Sasa kwasasa Hivi nyumbani Hakuna mtu nipo peke yangu mama ameenda kijijini kwao bibi anaumwa, mama yangu hana kazi ile ya kumtegemea anauza chupa za maji hivyo siwezi kumsumbua kwa chochote, amesafiri hajaniachia hata shilingi 100.. Hakuna chakula ndani Hakuna chochote, nachofanya nikitoka kazini nashukia kwa brother nakuta wamepika nakula naondoka
Leo nimeumia sana sijaenda kazini Nina siku 2 sina nauli hela niliokuwa nayo akiba imeisha nimemuomba bro kasema yeye hana hela hawezi kuwa anatoa hela mara mbili mbili kwa familia yake na kwangu, Kama niliweza kutafuta kazi basi nijitegemee nauli nikitaka kula nije nyumbani,, nikamuuliza sasa nitatoa wapi na Ndio naanza kazi akanijibu nitajua mwenyewe
Hiyo kauli imeniuma yaani anamaana gani kusema nipambane nitafute nauli yaani naitafutia wapi ..
Leo nimeacha kuwa judge Watu na maisha wanayoishi Kama ndugu yangu wa damu ananiambia maneno haya hao wa nnje watanijibu vipi
Ni hayo tu wakuu
Acha ujinga kaka. Hiyo ni laana unajitafutia bure.
Kwanza vipi yule mmeo uliekuwa unaishi nae magomeni, bado amesafiri au karudi[emoji16]
🤣🤣🤣Peaky blinders hajawahi ibiwa na boya kama wewe hapa jf.
-Uliomba elfu 10 uunge bando nikakunyima
- nilikuumbua watu wakakujua na kutoa shuhuda zao hapa hapa jf.
- Hata Savanna 4 ulizoomba nilikunyima
Acha huu ujinga kaka.
Wewe dada ushauri wako kila mahali ni wa tofauti, nimekuona kwenye madini kule unamshauri jamaa atoe mtoto kafara, huku tena ujiuze dahTafuta sponsor wa usafirishaji, wa nywele, wa kodi na kukutoa out weekend. Unakaaje kizembe town.
Hakika hata kunena kwako, wewe ndie.Sawa basi endelea kushusha povu na usilolijua Kuna watu humu tumeshaonana kwa macho wanakushangaa tu unavokaa kubishana
Endelea mkuu ukichoka utalala
Ndio mimi nimeomba ushauri, sote kwa pamoja tuwaze namna nzuri ya kucross check kama waomba misaada wanahitaji kweli msaada, either kupitia kwa wenye jamii forums au any verified figures wa humu (kama walivyo akina Malisa kule insta) kusudi wenye kuomba msaada basi wapate msaada, na watoa msaada watoe kwa kujua pesa yao inagusa hitaji la mtu.Sijapinga kusaidia watu na wapo watu humu pia hata mimi nishawafata PM nikawachangia kwenye uzi zao waliozileta kulia shida, (watakuja kueleza hayo kwa muda wao wakijiskia) ila authenticity ya story ya muhitaji ina namna yake haikuachi na question marks, unajikuta unatoa bila maswali ila hawa janja janja za brother sijui bro nyingi kwenye uzi, hakuna kitu.
Anonymity feature ya JF isiwafanye mkawa matapeli wa mitandaoni. Acheni mitandao iwe salama ya watu kuja ku socialize na kujifunza mambo mapya. Msituletee utapeli humu.
Ishu siyo content ya thread ishu ni mtazamo alioko nao kichwani kwake, kwahiyo solution ya kukabiliana na hiyo situation ni kudanga mbona wanawake wenzie wengi hawajamshauri hivyo mtoa mada, halafu na wewe si huwa uko against wanawake wanaodanga au umeshindwa kupambana nao umeamua kuungana nao tuThread hii na ile zina contents tofauti kwaiyo hata mbinu za kukabiliana na situation husika lazima ziwe tofauti. Angeonekana wa ajabu kama angekua na mawazo tofauti katika thread moja.
Angalia kwa jicho la tatu kuna kitu utakigundua kutoka kwangu, ishugulishe medula utanielewaWewe dada ushauri wako kila mahali ni wa tofauti, nimekuona kwenye madini kule unamshauri jamaa atoe mtoto kafara, huku tena ujiuze dah