Peaky blinders hajawahi ibiwa na boya kama wewe hapa jf.
-Uliomba elfu 10 uunge bando nikakunyima
- nilikuumbua watu wakakujua na kutoa shuhuda zao hapa hapa jf.
- Hata Savanna 4 ulizoomba nilikunyima
Acha huu ujinga kaka.
🤣🤣🤣Ishu siyo content ya thread ishu ni mtazamo alioko nao kichwani kwake, kwahiyo solution ya kukabiliana na hiyo situation ni kudanga mbona wanawake wenzie wengi hawajamshauri hivyo mtoa mada, halafu na wewe si huwa uko against na wanawake wanaodanga au umeshindwa kupambana nao umeamua kuungana nao tu
Hakika hata kunena kwako, wewe ndie.
Hili ni jibu maarufu sana la figo.
Chagua mahakamaMkuu vipi una uhakika tukienda mahakamani utakuwa na ushahidi na hizi tuhuma au una ropoka uonekane mjuaji
Lala tu bro achana na kuwa mjuaji hatufahamiani
Nidumu na mwanamke kwani amekuwa ngozi yangu au moyo?Mwanaume muongeaji hivi unadumu kweli na mwanamke maana unaonekana kipenga
Jadda ebu njoo taratiiiiibuu! Tusipangiane cha kukoment sawa? Halafu em nipotezee kabla sijakukaanga.Ishu siyo content ya thread ishu ni mtazamo alioko nao kichwani kwake, kwahiyo solution ya kukabiliana na hiyo situation ni kudanga mbona wanawake wenzie wengi hawajamshauri hivyo mtoa mada, halafu na wewe si huwa uko against na wanawake wanaodanga au umeshindwa kupambana nao umeamua kuungana nao tu
🤣🤣🤣🤣Kwann hujaenda kazn siku 2, na Kuna Uzi uliandika Kuna baba wa miaka 50 anakutaka Kwann ucianze na huyo umuombe hio nauli Binti
Well, namna nzuri ni kwamba apatikane mtu ambae yupo tayari anonymity yake ijulikane, awe ndo anafatilia hizo taarifa na awe mtoaji mzuri pia. Lengo ni hili yeye awe anafanya cross-check zote za watu wenye uhitaji wa kuchangiwa humu kutokana na uzi zao watakaokuwa wanazileta. Best way ya kumpata ni yeye mwenyewe ajitolee kwamba i will be doing so and so watu wajue tu kwamba he/she is ready and will be there. Nadhani kina Malissa pia walianza hivyo. Mtu mwenyewe awe na msukumo binafsi.Ndio mimi nimeomba ushauri, sote kwa pamoja tuwaze namna nzuri ya kucross check kama waomba misaada wanahitaji kweli msaada, either kupitia kwa wenye jamii forums au any verified figures wa humu (kama walivyo akina Malisa kule insta) kusudi wenye kuomba msaada basi wapate msaada, na watoa msaada watoe kwa kujua pesa yao inagusa hitaji la mtu.
Naelewa kuwa hata mtu awe na pesa nyingi kiasi gani hatapenda kumpa mtu muongo/tapeli. Binafsi kuna kakijana humu kalisema kama mke amejifungua na kazi imesimama, hawana hata hela ya chakula, nikafikiria njaa inavyouma wakati wa kunyonyesha ngoja nichangie mwanamke mwenzangu apone, looh! Hako kakijana kalikuja kuumbuliwa humu kuwa kana uraibu wa kubeti, hakana mke wala mtoto wa mchanga! What a waste..
Naelewa changamoto za utapeli, lakini humo humo kuna wenye shida kweli, hatuwezi kumaliza matatizo ya watu ila tunaweza kuelevate situations hata kwa masaa kadhaa.
Sijasema huyu achangiwe, namaanisha JF kama Community tunaweza kupata namna nzuri ya wenye uhitaji kusaidiwa.
Polesijawahi kuwa mjanja 😂
Wanawake wengi wanapenda superficial things, ila wapo walio wa kweli, kuwapata wa aina hiyo ni kitimtim.Huyo si unaishi naye ndiomana
Kwani km mnatakana si mkamalizane pm? Hebu kaa utulie nini unahangaika km umekalia kaa la moto?Ndio huyo huyo, ndio uone sasa uhalisia ninaosemea kuhusu wanawake, kule si uliingia mkenge ukamuona wife material
Ban nyingi mno siku hizi humuCocastic kala ban tayari, hahaha
Chagua mahakama
Chagua muda
Chagua hakimu
Chagua shahidi
Nauli ya bolt nitakutumi mimi.
Karibu sana kaka
Weeeeeeeh sema kweli.Peaky blinders hajawahi ibiwa na boya kama wewe hapa jf.
-Uliomba elfu 10 uunge bando nikakunyima
- nilikuumbua watu wakakujua na kutoa shuhuda zao hapa hapa jf.
- Hata Savanna 4 ulizoomba nilikunyima
Acha huu ujinga kaka.
Huyo anakupenda anashindwa kukwambia, emu malizaneni aache kushtuka na mimi. Naona kanikalia kooni hafu simjui!💀Thread hii na ile zina contents tofauti kwaiyo hata mbinu za kukabiliana na situation husika lazima ziwe tofauti. Angeonekana wa ajabu kama angekua na mawazo tofauti katika thread moja.
Ilo ndio suluhisho la wanawake wa mjini ndio maana akaongezea kwa kusema hata hao wanaomshauri avumilie nao wamewapanga masponsorIshu siyo content ya thread ishu ni mtazamo alioko nao kichwani kwake, kwahiyo solution ya kukabiliana na hiyo situation ni kudanga mbona wanawake wenzie wengi hawajamshauri hivyo
Sipo against na wanawake wadangaji ni wewe ndio huwa haunielewihalafu na wewe si huwa uko against wanawake wanaodanga au umeshindwa kupambana nao umeamua kuungana nao tu
Total nutcase.Nataka Melo awepo mjulishe kwanza na tukubaliane utanilipa
Maana unanichafua mtãndaoni Mimi ni tapeli na sijawah kutapeli mtu