Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

Sasa hana bill ya maji? ya Umeme? vp hapo nyumbani hajipikii? kama amepanga vp kodi ya pango halafu umesahau bando au hapigi cm? Ke wana mahitaji nyeti kila mwezi "mshahara" hilo unaliwekaje kwa mfano au
Akianz kutafuta nahitaji mengi wakt hakun mazngr ya kipato ata kitembeza sana, inabd awe na basic tuu chumba na chakula
 
Ulikatumia hako ka kijana bei gani?🤣
 
Kwa hiyo wewe mpenzi wako akishindwa kukusapoti kwa situation fulani unaachana nae na kutafuta mwingine? Huu si ndio udangaji wenyewe sasa?
Hao ni wadangaji na ukweli ndo huu 80% wanadanga either direct au indirect
 
Kwa hiyo wewe mpenzi wako akishindwa kukusapoti kwa situation fulani unaachana nae na kutafuta mwingine? Huu si ndio udangaji wenyewe sasa?
Hata kama sio pesa ushauri tu kashindwa kumpatia nin maan ya kua na mwanaume hapo.

Kama ni udangaji sawa.
 
Sasa usilalamike kusimangwa na kaka yako, na kifuatacho atakufukuza. Hapa wadada wote tutakwambia vumilia ila ukweli na wao wamewapanga masponsor sababu wanawake nature yetu kupokea na sio kutafuta
🤣🤣🤣🤣 C unajua sisi unafki kawaida yetu
 
Jimena ushauri wako ni mzuri dear.ilaa bunju to magomeni unujua umbali wake? Aende Kwa baiskeli?
Mfano aanzie mwembechai akanyage pedali Hadi Ubungo mataa,[emoji134]
Akangayage Tena Hadi mwenge mataa[emoji134]
Mwenge mpaka kawe ama tegeta to bunju
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2772][emoji2772][emoji2772]

Utakua unakaa mkoani wewe.
 
Karma is a bitch wakati unaringa kuwapa mbususu waoaji uliona unajiweza nyie mbwa mnaringa sana mkiwa chuo sasa pambana na K yako iburuze utakavyo
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Akianz kutafuta nahitaji mengi wakt hakun mazngr ya kipato ata kitembeza sana, inabd awe na basic tuu chumba na chakula
Huo nao ni mwanzo mzuri ila sio kuanza kwa kutembeza bakuli hapa Jf.
 
Sasa km mahasimu si muandae mechi mzichape. Unanichosha bhana na hun wako em kafieni mbele uko-ooo
Kibuyu km vibuyu vingine
 
Sasa usilalamike kusimangwa na kaka yako, na kifuatacho atakufukuza. Hapa wadada wote tutakwambia vumilia ila ukweli na wao wamewapanga masponsor sababu wanawake nature yetu kupokea na sio kutafuta
Hasara ya kudanga inakujaga baadae huwezi kuona sasa hivi
 
Hasara ya kudanga inakujaga baadae huwezi kuona sasa hivi
Kutokana na baadhi ya wadau kutoa maoni hasi juu ya mtoa mada (O.P) na mimi kuangalia kwa umakini, nimejiridhisha the O.P is not representing the person she claims to be. Nilikuwa na mpango wa kumtumia nusu ya mshahara wake ila nimeghairi.
 
Tukubali tu kuwa most of dada zetu swala la kujitafutia bado sana, muwezeshwe tu ili muweze kama slogan zinavyosema. Bahati mbaya me nao wamekuwa makatili sana, situation kama hii(japo najua huyu ni muongo tu) me wanachukulia advantage na kumchakaza dada wa watu kwa vijisenti kidogo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…