Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji


Wewe una mihemko hebu kaa usome vizuri

Wapi nimesema wamenilipa?

Nimesema ndio nimeanza kazi sijawah kulipwa hela

Ndani Hakuna chochote hiyo elfu 2 itanunua Kila kitu ndani kiasi kwamba niweze kubeba chakula

Option nilioona ni usiku kupita kwa bro nile cha usiku Asubuh sinywi chai mchana ndio nitafute cha elfu 2 na kazi ninayofanya ukiingia ni mpk saa1 ndio kutoka

Sasa sijui hiyo mihemko unaishusha kwenye uzi inatokea wapi
 
sasa wale wanaonunua siku moja siyo masponsor sponsor anakuwa ni mwanaume ambaye uko naye kwenye mahusiano na anadanganywa kuwa anapendwa kumbe anachunwa,
Hata wa siku moja anaweza kuwa sponsor pia, demu kanijia na shida yake nami nikampa sharti la kufanya mapenzi kwanza ndio nimtatulie tatizo lake naye akakubali, hapo mimi ni sponsor na demu kafanya direct prostitution.
 
Hujamaliza hata mwez kazin unawaza kufanya umalaya upate pesa ya kujikimu maisha... Nimekupa mbinu na elimu rahisi ya kujimudu kimaisha ila bado unashupaza shingo... Shida yako ushaamini means pekee ni kuchanua miguu ili upate pesa nyingi zaid ya mshahara huo wa 250k... Anyways udangaji mwema
 
Hivyo tu hadi umefikiria kudanga?! Usikate tamaa binti, pambana.
 
Hapo ilitakiwa akupe hata laki moja
Kwanin upite kula si wanunue mchele na unga na tambi ukifika unajipikia kumbe lastborn mnateseka hivi
 
Hapo ilitakiwa akupe hata laki moja
Kwanin upite kula si wanunue mchele na unga na tambi ukifika unajipikia kumbe lastborn mnateseka hivi
Ni ngumu kugawa chakula kama kipato cha kuungaunga, Dejane nawe unakuwa kama katoto kadogo kweli? 🤣Hujajua life likikukandamiza halikuangalii usoni!!
 
Weka no yako wasamaria wema watakusaidia. Jiepushe sana na maisha ya umalaya ya kutafuta pesa. Siyo mazuri. Mwombe Mungu atakusaidia. Atakuonyesha njia.
 
Ni ngumu kugawa chakula kama kipato cha kuungaunga, Dejane nawe unakuwa kama katoto kadogo kweli? 🤣Hujajua life likikukandamiza halikuangalii usoni!!
Ana ndugu wengi wanashindwa kweli kumchangia mdogo wao wanamuacha anaadhirika .dada itabidi jiongeze apate sponyo
 
Ana ndugu wengi wanashindwa kweli kumchangia mdogo wao wanamuacha anaadhirika .dada itabidi jiongeze apate sponyo
Sema ajiongeze kudanga, mbona unamumunya maneno!🤣
 
Sasa km mahasimu si muandae mechi mzichape. Unanichosha bhana na hun wako em kafieni mbele uko-ooo
Kibuyu km vibuyu vingine
Oh please give me a break inaonekana ulikuwa unamtafuta mtu wa kummalizia stress zako, ukamkosa sasa kwa bahati nzuri ukaingia huku ukakutana na mimi, ndio ukaamua uzimalizie kwangu..psychopath!!
 
Hata wa siku moja anaweza kuwa sponsor pia, demu kanijia na shida yake nami nikampa sharti la kufanya mapenzi kwanza ndio nimtatulie tatizo lake naye akakubali, hapo mimi ni sponsor na demu kafanya direct prostitution.
Wewe acha kujitungia maana zako mradi tu utetee uongo wako, jamii yote inajua kwenye sekta ya mahusiano mtu akisema sponsor au danga anamaanisha nini halafu wewe unataka kulazimisha maana yako, huyo dada amemshauri mwenzie atafute masponsor aka madanga hajamuambia akatafute wale wa kununua siku moja
 
Hayo maneno ya sponsor na kudanga ni rejesta mzee baba hayana maana moja ya jumla kwenye kiswahili rasmi kwaiyo kila mtu anaweza kuzitumia katika angle yake ilimradi tu wao wanaowasiliana wanaelewana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…