Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

Kwani hakuna fursa nyingine? e.g. Hapo kazini kwake hawezi kuanzisha mobile retail service ya chai n.k. i.e akiamka asb. anaandaa chai yake safi, nzito na vitafunwa then anajibebea kwenda nayo kazini na ikifika tea break anawadaka wadau. Akiweza kumake 500 per day kwa mwezi faida ni 15,000/= - sio haba kuliko kudanga mtoto kama huyo na elimu yake.

Hiyo huduma ipo kazini mpendwa watu wanauza kila kitu
 
Hapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini

Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki hivyo tumebaki na mama tu.. hao ndugu zangu wote hawana maisha ya kueleweka isipokuwa mmoja tu angalau yeye ameajiliwa serikalini ndio kidogo anaibeba familia, yeye ameshaoa ana familia yake

Mimi nimeshahitimu chuo nina kama Miaka miwili nyumbani.. nimepata sehemu ya kujishikiza wananilipa 250000.. Kwetu ni bunju nafanyia kazi magomeni kila siku natumia 5000 yaani 3000 nauli 2000 nakula mchana hapo Ndio najibana mno..

Sasa kwasasa Hivi nyumbani Hakuna mtu nipo peke yangu mama ameenda kijijini kwao bibi anaumwa, mama yangu hana kazi ile ya kumtegemea anauza chupa za maji hivyo siwezi kumsumbua kwa chochote, amesafiri hajaniachia hata shilingi 100.. Hakuna chakula ndani Hakuna chochote, nachofanya nikitoka kazini nashukia kwa brother nakuta wamepika nakula naondoka

Leo nimeumia sana sijaenda kazini Nina siku 2 sina nauli hela niliokuwa nayo akiba imeisha nimemuomba bro kasema yeye hana hela hawezi kuwa anatoa hela mara mbili mbili kwa familia yake na kwangu, Kama niliweza kutafuta kazi basi nijitegemee nauli nikitaka kula nije nyumbani,, nikamuuliza sasa nitatoa wapi na Ndio naanza kazi akanijibu nitajua mwenyewe

Hiyo kauli imeniuma yaani anamaana gani kusema nipambane nitafute nauli yaani naitafutia wapi ..

Leo nimeacha kuwa judge Watu na maisha wanayoishi Kama ndugu yangu wa damu ananiambia maneno haya hao wa nnje watanijibu vipi


Ni hayo tu wakuu
Kwanini usihamie magomeni?
 
Mara sijui mapenzi yanamtesa, mara sijui nini..
Mtu anayeteseka na maisha kiasi hicho hawezi kuwa anashinda JF anaandika visa kwenye uzi kuhusu mapenzi, huyo bado hajateseka vizuri na most probably ni muongo. We have been here too long to be scammed that way. Jichanganyeni tu mumchangie hela ya kulewa mwanaume wa dar
Wa kumchangia fwedha hayupo labda wa kumsumbua kwenye simu na mitongozo ya hapa na pale.
Wanaume wenyewe wa kutoa pesa hawa wanaoulizia kazi za kuandikisha wananchi kwenye daftari la wapiga kura?
Niko pale nimekaa wakimtumia
 
Hapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini

Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki hivyo tumebaki na mama tu.. hao ndugu zangu wote hawana maisha ya kueleweka isipokuwa mmoja tu angalau yeye ameajiliwa serikalini ndio kidogo anaibeba familia, yeye ameshaoa ana familia yake

Mimi nimeshahitimu chuo nina kama Miaka miwili nyumbani.. nimepata sehemu ya kujishikiza wananilipa 250000.. Kwetu ni bunju nafanyia kazi magomeni kila siku natumia 5000 yaani 3000 nauli 2000 nakula mchana hapo Ndio najibana mno..

Sasa kwasasa Hivi nyumbani Hakuna mtu nipo peke yangu mama ameenda kijijini kwao bibi anaumwa, mama yangu hana kazi ile ya kumtegemea anauza chupa za maji hivyo siwezi kumsumbua kwa chochote, amesafiri hajaniachia hata shilingi 100.. Hakuna chakula ndani Hakuna chochote, nachofanya nikitoka kazini nashukia kwa brother nakuta wamepika nakula naondoka

Leo nimeumia sana sijaenda kazini Nina siku 2 sina nauli hela niliokuwa nayo akiba imeisha nimemuomba bro kasema yeye hana hela hawezi kuwa anatoa hela mara mbili mbili kwa familia yake na kwangu, Kama niliweza kutafuta kazi basi nijitegemee nauli nikitaka kula nije nyumbani,, nikamuuliza sasa nitatoa wapi na Ndio naanza kazi akanijibu nitajua mwenyewe

Hiyo kauli imeniuma yaani anamaana gani kusema nipambane nitafute nauli yaani naitafutia wapi ..

Leo nimeacha kuwa judge Watu na maisha wanayoishi Kama ndugu yangu wa damu ananiambia maneno haya hao wa nnje watanijibu vipi


Ni hayo tu wakuu
Unakosea sana kulaumu nduguyo. Huo mshahara wa sh 250,000 unatosha kwa nauli ambayo kwa wiki ni sh 25,000 kwa nwezi ni sh 100,000 hivyo unabakiwa na sh 150000; hiyo hela inatisha kula jioni bila kwenda kumsumbua kakako. Unafikiri kakao analipwa mamilioni? Mshshara wa mwenye degree serikalini masomo ya art ni kama sh 700,000 hivi sasa yeye ajihudumie yeye na fanilia yake haladu bado na wewe tena. Ona aibu.

Ukitaka maisha nje ya uwezo wako jiuze ususumbue nduguzo.
Bajeti hiyo sh 259,000 kwanza kodi ya nyumba hulipi .
 
Hapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini

Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki hivyo tumebaki na mama tu.. hao ndugu zangu wote hawana maisha ya kueleweka isipokuwa mmoja tu angalau yeye ameajiliwa serikalini ndio kidogo anaibeba familia, yeye ameshaoa ana familia yake

Mimi nimeshahitimu chuo nina kama Miaka miwili nyumbani.. nimepata sehemu ya kujishikiza wananilipa 250000.. Kwetu ni bunju nafanyia kazi magomeni kila siku natumia 5000 yaani 3000 nauli 2000 nakula mchana hapo Ndio najibana mno..

Sasa kwasasa Hivi nyumbani Hakuna mtu nipo peke yangu mama ameenda kijijini kwao bibi anaumwa, mama yangu hana kazi ile ya kumtegemea anauza chupa za maji hivyo siwezi kumsumbua kwa chochote, amesafiri hajaniachia hata shilingi 100.. Hakuna chakula ndani Hakuna chochote, nachofanya nikitoka kazini nashukia kwa brother nakuta wamepika nakula naondoka

Leo nimeumia sana sijaenda kazini Nina siku 2 sina nauli hela niliokuwa nayo akiba imeisha nimemuomba bro kasema yeye hana hela hawezi kuwa anatoa hela mara mbili mbili kwa familia yake na kwangu, Kama niliweza kutafuta kazi basi nijitegemee nauli nikitaka kula nije nyumbani,, nikamuuliza sasa nitatoa wapi na Ndio naanza kazi akanijibu nitajua mwenyewe

Hiyo kauli imeniuma yaani anamaana gani kusema nipambane nitafute nauli yaani naitafutia wapi ..

Leo nimeacha kuwa judge Watu na maisha wanayoishi Kama ndugu yangu wa damu ananiambia maneno haya hao wa nnje watanijibu vipi


Ni hayo tu wakuu
Ukishakua mtu mzima jifunze kujipambania mwenyewe bila kutegemea mtu
 
Wa kumchangia fwedha hayupo labda wa kumsumbua kwenye simu na mitongozo ya hapa na pale.
Wanaume wenyewe wa kutoa pesa hawa wanaoulizia kazi za kuandikisha wananchi kwenye daftari la wapiga kura?
Niko pale nimekaa wakimtumia
Wanaume wenye hela tupo lakini niamini mimi, mtu mwenye matatizo kama yake asingekuwepo hata JF saivi akiandika uzi kama zake. Mimi nikiwa na changamoto zangu za kawaida tu, JF siingii hata week, sembuse hizo shida kibao kama hizo...Muongo huyu.
 
Unakosea sana kulaumu nduguyo. Huo mshahara wa sh 250,000 unatosha kwa nauli ambayo kwa wiki ni sh 25,000 kwa nwezi ni sh 100,000 hivyo unabakiwa na sh 150000; hiyo hela inatisha kula jioni bila kwenda kumsumbua kakako. Unafikiri kakao analipwa mamilioni? Mshshara wa mwenye degree serikalini masomo ya art ni kama sh 700,000 hivi sasa yeye ajihudumie yeye na fanilia yake haladu bado na wewe tena. Ona aibu.

Ukitaka maisha nje ya uwezo wako jiuze ususumbue nduguzo.
Bajeti hiyo sh 259,000 kwanza kodi ya nyumba hulipi .

Dear sijapokea mshahara Ndio kazi naanza nina siku 10 tu

Ndio maana nikaomba support ya nauli mpk nipate mshahara
 
Hiyo huduma ipo kazini mpendwa watu wanauza kila kitu
OK. Vip katika eneo lako hakuna fursa za Bob a job? e.g. watu wanaohitaji kuoshewa vyombo, kufuliwa nguo, kufanyiwa usafi - kazi hii waweza kuifanya kama part time ukitoka kazini. Hii ukipata 1000 kwa siku; kwa mwezi utatengeneza 30,000/= (Hapo usiangalie elimu au status quo)
 
Kazi yenye Malipo hivyo inahitaji uwe unalala hapo hapo kazini... ! e.g Receptionist wa Logde,G.house n.k.

Sasa wewe kutokea Bunju kila siku hadi Town Lzm Kichwa kikuume...!

Muombe Brother Mtaji uanze Biashara.!
 
Back
Top Bottom