Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

Hapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini

Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki hivyo tumebaki na mama tu.. hao ndugu zangu wote hawana maisha ya kueleweka isipokuwa mmoja tu angalau yeye ameajiliwa serikalini ndio kidogo anaibeba familia, yeye ameshaoa ana familia yake

Mimi nimeshahitimu chuo nina kama Miaka miwili nyumbani.. nimepata sehemu ya kujishikiza wananilipa 250000.. Kwetu ni bunju nafanyia kazi magomeni kila siku natumia 5000 yaani 3000 nauli 2000 nakula mchana hapo Ndio najibana mno..

Sasa kwasasa Hivi nyumbani Hakuna mtu nipo peke yangu mama ameenda kijijini kwao bibi anaumwa, mama yangu hana kazi ile ya kumtegemea anauza chupa za maji hivyo siwezi kumsumbua kwa chochote, amesafiri hajaniachia hata shilingi 100.. Hakuna chakula ndani Hakuna chochote, nachofanya nikitoka kazini nashukia kwa brother nakuta wamepika nakula naondoka

Leo nimeumia sana sijaenda kazini Nina siku 2 sina nauli hela niliokuwa nayo akiba imeisha nimemuomba bro kasema yeye hana hela hawezi kuwa anatoa hela mara mbili mbili kwa familia yake na kwangu, Kama niliweza kutafuta kazi basi nijitegemee nauli nikitaka kula nije nyumbani,, nikamuuliza sasa nitatoa wapi na Ndio naanza kazi akanijibu nitajua mwenyewe

Hiyo kauli imeniuma yaani anamaana gani kusema nipambane nitafute nauli yaani naitafutia wapi ..

Leo nimeacha kuwa judge Watu na maisha wanayoishi Kama ndugu yangu wa damu ananiambia maneno haya hao wa nnje watanijibu vipi

Ni hayo tu wakuu

0679494293. Rahma Yusuf
Tatizo nchi hii hujui kama ni kweli huyu mtu ana shida au ni tapeli. Yaan kuna saa unataman kumsaidia mtu unakuta ndio biashara yake. Pole sana kama ni kweli ila jikaze upambane hakauna njia rahc kwenda upande wa pili. Niko safarin nikijaliwa kurud utauona muamala wangu. Ila plz naomba uwe mkweli tunaogopa kuwapa hata kamtaji flan watu wenye shida za kweli kwasababu matapeli ni wengi mno.
 
Ndugu soma bila kuwa na hisia negatieve nimesema siwezi kumsumbua mama hana hela

Ndio naanza kazi sijalipwa natoa wapi hela hiyo

Hiyo elfu 2 nakula mchana maana usiku nakula kwa bro
Sasa nauli na elfu mbili za kula kazini unatoa wapi?
 
Ni kweli ila maisha yanatupa hizo chaguzi

Yaani nimewaza leo kuna mtu anataka nikaishi nae au niende tu labda ugumu wa maisha utapungua
Jiandae kuwa single mother mpya mjini apa ,mwisho wa sku uje useme wanaume wote ni mbwa na mimi nimeshakusanua.
 
Hapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini

Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki hivyo tumebaki na mama tu.. hao ndugu zangu wote hawana maisha ya kueleweka isipokuwa mmoja tu angalau yeye ameajiliwa serikalini ndio kidogo anaibeba familia, yeye ameshaoa ana familia yake

Mimi nimeshahitimu chuo nina kama Miaka miwili nyumbani.. nimepata sehemu ya kujishikiza wananilipa 250000.. Kwetu ni bunju nafanyia kazi magomeni kila siku natumia 5000 yaani 3000 nauli 2000 nakula mchana hapo Ndio najibana mno..

Sasa kwasasa Hivi nyumbani Hakuna mtu nipo peke yangu mama ameenda kijijini kwao bibi anaumwa, mama yangu hana kazi ile ya kumtegemea anauza chupa za maji hivyo siwezi kumsumbua kwa chochote, amesafiri hajaniachia hata shilingi 100.. Hakuna chakula ndani Hakuna chochote, nachofanya nikitoka kazini nashukia kwa brother nakuta wamepika nakula naondoka

Leo nimeumia sana sijaenda kazini Nina siku 2 sina nauli hela niliokuwa nayo akiba imeisha nimemuomba bro kasema yeye hana hela hawezi kuwa anatoa hela mara mbili mbili kwa familia yake na kwangu, Kama niliweza kutafuta kazi basi nijitegemee nauli nikitaka kula nije nyumbani,, nikamuuliza sasa nitatoa wapi na Ndio naanza kazi akanijibu nitajua mwenyewe

Hiyo kauli imeniuma yaani anamaana gani kusema nipambane nitafute nauli yaani naitafutia wapi ..

Leo nimeacha kuwa judge Watu na maisha wanayoishi Kama ndugu yangu wa damu ananiambia maneno haya hao wa nnje watanijibu vipi

Ni hayo tu wakuu

0679494293. Rahma Yusuf
Hiyo mind unavyoona kuwa sometmz Options hakuna ,ndio muwaelewe vijana wa rika lenu mkiona wana hustle na kukupa hata 20K, Usiseme ki hela gan umenipa, au akisema hana msiwadharau.

Ushauri, ongea na maza, nyumba ni mtaji hiyo. Weka mpangaji kwa miezi mitatu upate back Up ya kuanzia life. Pangisha vyumba kadhaaa au nyumba nzima.

Kuna bro wangu alikuwa anatafuta house mate, yeye hakai sana home kwake na mtu anaishi kisela, yupo na some rooms, ukitaka niku link naye. Kama utampza kidogo au mtafanyaje.

But unaweza geuz nyumba ikawa kama side hustle, itupie Airbnb au pangisha kawaida. Pole kwa mapito.
 
Sijapinga kusaidia watu na wapo watu humu pia hata mimi nishawafata PM nikawachangia kwenye uzi zao waliozileta kulia shida, (watakuja kueleza hayo kwa muda wao wakijiskia) ila authenticity ya story ya muhitaji ina namna yake haikuachi na question marks, unajikuta unatoa bila maswali ila hawa janja janja za brother sijui bro nyingi kwenye uzi, hakuna kitu.
Pia kuna neno kaandika "Sema nini, we una roho mbaya" hilo neno ni wanaume ndo tunaandika hivyo
 
Sasa kadogo2 ile mimba uliyoipata wakati unasoma Mzumbe university uliitoa? Maana umeandika huna mtoto.

Halafu wanawake mlivyo na roho mbaya, mwenzenu kaleta tatizo hata kumtumia hela hakuna, mnamshauri afanye umalaya.
 
Pole sana ila jenga mahusiano pia na majirani zako incase ya changamoto hizi wanakupiga tafu
 
Hey sawa umeishi dsm..lakini nlichojua nakuelewesha ni umbali toka eneo tajwa Hadi jingine.
Bunju Hadi magomeni ni mbali sana
Pia sijasema ni Bora aendelee kuomba na kunyanayasika.kuna option nyingine nyingi kapeea hapo ikiwemo kutafuta room nafuu maeneo ya karibu Ili save pesa.

Hizo changamoto tajwa hata mie nazipitia right now na nakaza moyo.so namuelewa.

Ni hayo.na kama nimekukwaza Kwa comment yangu...I'm sorry kipenzi[emoji4]
No hukunikwaza its alright, Bunju napajua vizuri sanaa na huo umbali pia
Lakini najua hukunielewa kwanini nilimshauri vile, huyu mleta mada mwenyewe hajulikani ni jinsia gani lakini pia story yake ina utata mno kiasi kwamba ukisoma comments plus nyuzi zake za awali ambazo wamezi-quote na kuleta humu utagundua kuwa huu uzi upo kimkakati sanaa na ndio maana nami nikashauri kimkakati vile vile
 
Mpenzi ingekuwa hivyo ni siku nyingi ningepotea.. mimi nimejikuza mwenyewe na mtaani kwetu Hakuna binti aliesoma na alietulia na asie na mtoto zaidi yangu… huko nilishapita kinachoniwazisha hapa ni hii hatua nitavukaje
UIngekuwa arusha ningekuwa nakupa nauli kila siku maana kuna binadamu
 
Hapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini

Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki hivyo tumebaki na mama tu.. hao ndugu zangu wote hawana maisha ya kueleweka isipokuwa mmoja tu angalau yeye ameajiliwa serikalini ndio kidogo anaibeba familia, yeye ameshaoa ana familia yake

Mimi nimeshahitimu chuo nina kama Miaka miwili nyumbani.. nimepata sehemu ya kujishikiza wananilipa 250000.. Kwetu ni bunju nafanyia kazi magomeni kila siku natumia 5000 yaani 3000 nauli 2000 nakula mchana hapo Ndio najibana mno..

Sasa kwasasa Hivi nyumbani Hakuna mtu nipo peke yangu mama ameenda kijijini kwao bibi anaumwa, mama yangu hana kazi ile ya kumtegemea anauza chupa za maji hivyo siwezi kumsumbua kwa chochote, amesafiri hajaniachia hata shilingi 100.. Hakuna chakula ndani Hakuna chochote, nachofanya nikitoka kazini nashukia kwa brother nakuta wamepika nakula naondoka

Leo nimeumia sana sijaenda kazini Nina siku 2 sina nauli hela niliokuwa nayo akiba imeisha nimemuomba bro kasema yeye hana hela hawezi kuwa anatoa hela mara mbili mbili kwa familia yake na kwangu, Kama niliweza kutafuta kazi basi nijitegemee nauli nikitaka kula nije nyumbani,, nikamuuliza sasa nitatoa wapi na Ndio naanza kazi akanijibu nitajua mwenyewe

Hiyo kauli imeniuma yaani anamaana gani kusema nipambane nitafute nauli yaani naitafutia wapi ..

Leo nimeacha kuwa judge Watu na maisha wanayoishi Kama ndugu yangu wa damu ananiambia maneno haya hao wa nnje watanijibu vipi

Ni hayo tu wakuu

0679494293. Rahma Yusuf
Dah ntakutafuta nikusomee Dua bure kabisa... Upate kazi itakayokidh hali yako🤝
 
Back
Top Bottom