Leo ndio siku sahihi kwa Manchester United kulipa kisasi kwa Liverpool

Nakumbuka 1997 - 2001 nilikuwa nagombana sana na home issue za kwenda shamba Jumamosi wakati game inachezwa saa 7:30, ikawa naamka alfajiri.

Napiga kazi muda wa saa 5 nachomoka mbiyo!

Carlsberg vs Sharp!
Carlsberg Vs Sharp? Ahhhhhahaha!! It was a real battle.
 

Mkuu EPL nimeanza kuangalia season ya 1998-99.

Before that tulikuwa tunaangalia mikanda ya games zilizopita.

Ronaldinho first time namwona ilikuwa 1999 kwenye mashindano ya under 19 yalifanyika Nigeria (kitu kama hicho) na alikuwa anaitwa Ronaldo, then Olympic ya 2000 walicheza na Cameron.

Since day one namwona Ronaldinho, I told people kwamba huyu atakuja kuwa mchezaji mkubwa sana.

Nenda youtube utaona aina ya magoli aliyofunga kwenye hizo tournaments.

Nimemwona Maradona 1994 WC (that was my first time kuona live games kwenye TV).
 
We kiazi kweli tofautisha hapo goli la drogba na goli la demba ba tena torres akaja kuwapigilia msumari wa pili kocha wenu brendan rodgers
Una uhakika Torres alipigilia msumali wa pili? Mbona nawe kama umechanganya madesa?
 
Rooney wa kawaida tu. Mimi nilivyomuangalia Adam Lallana AT HIS BEST basi ni zaidi ya Rooney. Nimeweka capital kumaanisha na ieleweke hapo. Mpaka kuna rafiki yangu mmoja shabiki wa Barcelona akawa anasema Muingereza pekee anayejua mpira. Kijana yule majeruhi yamepoteza kipaji chake.
 
Carlsberg Vs Sharp? Ahhhhhahaha!! It was a real battle.

True, madaftari yangu yote yalikuwa na nembo ya Carlsberg, nilikuwa najua kuichora kupita hata original.

Calsberg, Reebok na Umbro ni chata ambazo mpaka leo najikuta tu nimezichora bila kujijua, kuna ile unakuwa unafikiria kitu unachora chora chochote.
 
Mzee we ulikuwa wapi? Mbona wenzio tumeanza kuona kabla ya hapo kupitia dtv?
 

Hiyo ni hypothetical mkuu, tunazungumzia jinsi mtu anavyokuwa na talent kidogo ila akaweza kuitransform kwenye mafanikio makubwa.

Lallana is talented yes, lakini huwezi kumzungumzia kabisa linapokuja swala la achievements vs Rooney. At the end, achievement matters.
 
Nakumbuka 1997 - 2001 nilikuwa nagombana sana na home issue za kwenda shamba Jumamosi wakati game inachezwa saa 7:30, ikawa naamka alfajiri.

Napiga kazi muda wa saa 5 nachomoka mbiyo!

Carlsberg vs Sharp!
Man Utd walidhaminiwa na Sharp (Tv) halafu baadae Vodafone ilikuwa hatari sana huku Liverpool wakidhaminiwa na Calsberg (bia) wakiwa wadhamini wa muda mrefu sana wa Liver.

Hiyo jezi yenye nembo ya Calsberg nawakumbuka Spice Boys akina Michael Owen ( The Golden Boy ), Robbie Fowler ( God ) mashabiki wa Liverpool walimuita jina la utani Mungu. Alikuwa na kipaji kikubwa sana cha kufunga.

Halafu kuna mtu wa kuitwa Stan Collymore... we acha utani kabisaa bila kumsahau Mc Manaman. Hapo nazungumzia miaka ile ya 97 mpk 2000!

Mwanzoni mwa miaka ya 2000 wakaja watu kama akina Aboubacar Titi Camara, huyo alikuwa Mguinea, mtukutu El Hadji Diouf, Salif Diao japo hakutamba sana, pia alikuwepo mwamba wa Finland, Sammy Happya! Bila kumsahau Mkongwe Danny Murphy.

Cc
Guasa Amboni
 
Mataifa huru ya Afrika mwaka 94 hukuangalia live?
 
Mzee we ulikuwa wapi? Mbona wenzio tumeanza kuona kabla ya hapo kupitia dtv?

Mkuu nilikuwa Bush huko, umeme hakuna, mpira tunaangalia kwenye banda.

Nadhani mwaka huo ITV ndo walianza kuonesha na sisi tukapata nafasi. Otherwise ligi ya Italy na German ndiyo tulikuwa tunaangalia, pia UEFA.
 
Mataifa huru ya Afrika mwaka 94 hukuangalia live?

No, baada ya World Cup hiyo ya 94 ndipo nilianza kuruhusiwa kwenda kuangalia mpira.

Maana sehemu tulikuwa tunaangalia ni mbali na home, kwa hiyo mnaenda kikundi kama cha watu watatu na kuendelea.

Africa nimeangalia michuano ya 96 - 2008, baada ya hapo nimekuwa very selective kwenye mechi za kuangalia.

Huwezi amini toka 2014 sijaangalia hata game moja ya AFCON nikamaliza.
 
Mkuu nilikuwa Bush huko, umeme hakuna, mpira tunaangalia kwenye banda.

Nadhani mwaka huo ITV ndo walianza kuonesha na sisi tukapata nafasi. Otherwise ligi ya Italy na German ndiyo tulikuwa tunaangalia, pia UEFA.
Ila ndugu ishu ya shamba hata mi ilinitesa sana, weekend unatumwa shamba halafu neo kuna game basi nikijua kesho liver na man basi ntaugua magonjwa yote ilimradi nisiende shamba
 

Kati ya miaka ilikuwa migumu kwangu ni wakati Man Utd anachukua makombe 3, kila tukimchawia anachomoka dakika mbaya.
 
Mzee vitu vingi mimi na wewe tunafana kwenye soka yaani hayo mashindano ya afrika toka muda sana yamepoteza msosimuko kwenye nafsi yangu, yaani siwezi maliza game bila kusinzia bora niangalie katuni ya yugi bear kuliko hayo mashindano, nakumbuka niliacha kuangali miaka kibao nikarudi 2010 nikakuta misri anabonda wenzie nikaacha tena labda mwaka huu kwavile tumo
 

Hata mimi ntaangalia kwa sababu tumo.

Ila mashindano hayanaga mvuto kabisa, inanishangaza sana unakuta kikosi wamejaa A listed players wa Ulaya halafu wanacheza ovyo ovyo.
 
One of the top rivalry in Football Sports ni North West Derby (chini hapo nakuwekea top 3 derbies of all time):

Man Utd vs Liverpool - North West Derby
Barca vs R Madrid - El Clasico
River Plate vs Boca Juniors - Superclasico
Barca na madrid sio derby, afu liverpool na Man U waga mechi mbaya hainaga ufundi yani haina radha unaweza kuangalia paka ukasinzia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…