Leo ndio tutajua baba mwenye gari ana umuhimu gani..!

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mme wangu nunua Gredaaaa tu hutakwamaaa popote
 
Acha utani na team vitz, ist, starlet, march na jamii zake. Mkuu wenzako wanainjoi jiji ila tu kipindi hiki.
Hata mimi siwacheki mkuu...natumbukia badala ya kupanda gari!
 
Nimefurahi hii vita ya wanaume leoooo

Meno yote 32 njeeeee ngoja niendeleee kuenjoy
 
Hata mimi siwacheki mkuu...natumbukia badala ya kupanda gari!
Eeh, ukitutania unatuvunja moyo aisee. Huenda siku moja tukamiliki mikoko ya maana, ila bwana kwa Dar wakati hata ukiwa na gari kubwa, ni bure tu.
 
Eeh, ukitutania unatuvunja moyo aisee. Huenda siku moja tukamiliki mikoko ya maana, ila bwana kwa Dar wakati hata ukiwa na gari kubwa, ni bure tu.
Si umeona Mshana Jr kakaa na 4x4 yake
 
Hii mvua imeleta balaa, usafiri hamna watu wamezagaa barabarani na miamvuli kwa kweli hata kutoa lift ni ngumu maana utamchukua yupi utamuacha yupi?

Leo ndio baba mwenye gari anatembea kifua mbele
Vipi kwa sisi wenye magari na nyumba nyingi? Sasa anayemilimi kiPasso si sawa tu na mwenda kwa miguu? Maana naona vinazimika njiani na vingine vinazama kabisa
 
Teh teh teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…