Leo ndio tutajua baba mwenye gari ana umuhimu gani..!

RRONDO huku kwetu Kwamtogole vyoo vyetu ni passport size, usiku mzima mvua ilinyesha. Kuahikwa na haja ilikuwa ni adhabu.

Kama kuna jehanam jamani sisi wengine tumeianzia duniani
Si unaingia na mwamvuli
 
Ule mlango wa gunia itabidi tu ufunge mwamvuli ndiyo uingie.
Ukiwa unachojoa nguo inabidi utumie mikono, hivyo unajitolea kunyeshewa.
Ukinawa baada ya shughuli unatumia mikono.
Ila mvua huwa inatusaidia 'kutapisha'
 
Niliwaambia wanaume wanunue magar wakanijazia mapovu leo sasa ndo wajue umuhimu unaenda kazin umechafuka chapachapaaaa

Wadada oleweni na wanaume wenye magar jaman mateso ya nn

View attachment 746006
Niliwaambia wanaume wanunue magar wakanijazia mapovu leo sasa ndo wajue umuhimu unaenda kazin umechafuka chapachapaaaa

Wadada oleweni na wanaume wenye magar jaman mateso ya nn

View attachment 746006
Mnyama huyu Harrier old model sio mchezo
 
eee kweli kabisa gari muhimu sana kwa dunia ya leo,

hakunaga mwarabu,mhindi asiye na ka gari, hata awe masikini vipi, lazima kwa nje kuna ka usafiri, uwe wa zaman ama wa kisasa,,

gari mhimu
Hivi mwenye mshahara wa laki tatu na anapanga nyumba vyumba viwili na ana watoto wanasoma anaweza kumudu gari? Nisaidie mchanganuo ili kesho nilitafute mvua zikikatika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…