Leo ndio tutajua baba mwenye gari ana umuhimu gani..!

Leo ndio tutajua baba mwenye gari ana umuhimu gani..!

Ndo maana utusaidie mawazo sisi tulioajiriwa na tunategemea mshahara tu ili tujue mbinu. Ni ombi tu.
Hio sasa ni thread kama sio somo la miezi kadhaa.
 
Unalipa mwaka huku ukiendelea kudunduliza...sasa hii mvua unafanyaje kwa mfano?
Mkuu, stress za kupanga hazina mfanowe, sijui kama unaweza kuzilinganisha na hali hii ya mvua. Hapo hujakosana na mwenye nyumba akakupa notice ya miezi mitatu, karaha ya kuhama...aggggr hapana aisee.
 
gari ni muhimu kama simu...ya mkononi...kama hauna usafiri umasikini uankusogelea..maana unatumia muda mwingi na pesa nyingi.na kuvuruga mipango yako..pia inasaidia mtu kutojua mambo yako kirahisi...nchi zilizoendelea bila gari ni mateso....sanaaa
 
Ha ha ha wenye bajaj wameongeza bei mara mbili.....fursa
Haiji ghafla lakini ikija stress haziishi nakuambia, 250-500kpm kwa mwaka mzima kama tu kuna sehemu ulikosea kudunduliza, utaomba poo, tena ukutane na landlord mkali.

Kipindi hiki bajaj zinaokoa "baba wenye nyumba".
 
gari ni muhimu kama simu...ya mkononi...kama hauna usafiri umasikini uankusogelea..maana unatumia muda mwingi na pesa nyingi.na kuvuruga mipango yako..pia inasaidia mtu kutojua mambo yako kirahisi...nchi zilizoendelea bila gari ni mateso....sanaaa
At least nchi zilizoendelea zina reliable all weather transport system.
 
Haya bwana ngoja sisi tulale maana kupanda Africana kuchukua Daladala kumenishinda.
Ha ha ha ha unaona sasa gharama ya kukosa usafiri? Kuna hela unaipoteza leo.
 
At least nchi zilizoendelea zina reliable all weather transport system.
Mkuu, tena kwa jiji la Dar unaweza kuacha gari nyumbani siku kama ya leo. Kuna maeneo mengi leo njia zimefungwa, gari hazipiti.
 
gari ni muhimu kama simu...ya mkononi...kama hauna usafiri umasikini uankusogelea..maana unatumia muda mwingi na pesa nyingi.na kuvuruga mipango yako..pia inasaidia mtu kutojua mambo yako kirahisi...nchi zilizoendelea bila gari ni mateso....sanaaa
Umenena mkuu...bongo kuwa na gari we ni tajiri[emoji15]
 
Wale wa vitz, Felder,Mazda

Kama nawaona mnavokwepa
Morogoro road maeneo ya magomen
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
hahaha
 
Back
Top Bottom