Leo ndio tutajua baba mwenye gari ana umuhimu gani..!

hahaha kwahiyo mafuriko aliyapata nuhu na familia yake tu.....asee[emoji23][emoji28][emoji23]
 
Mkuu, tena kwa jiji la Dar unaweza kuacha gari nyumbani siku kama ya leo. Kuna maeneo mengi leo njia zimefungwa, gari hazipiti.
Ujanja pia ni kujua unapoishi na tabia za barabara kulingana na weather.
 
hahaha naona punch nikuPunch....saafi kabisa
 
What if mwenye Nyumba nae kaajiriwa
Mzee nimezungumzia wale waliojiajiri nisome vizuri.
Ila kama naye kaajiriwa hata akichelewa kazini akafukuzwa au kupumzishwa kazi bado ana advantage kubwa ya kuishi town maana ataishi kwa kutegemea kodi atakazowatoza wapangaji wake huku akitafuta kazi nyengine tofauti na ambae ni mpangaji maana kazi hana atatoa wapi hela ya kulipa nyumba?
 
Kwani kila mwenye nyumba anamiliki zaidi ya nyumba moja? Ni wazi hapa anazungumzia mwenye nyumba moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…