#COVID19 Leo ndo nimeamini COVID-19 ni hatari

#COVID19 Leo ndo nimeamini COVID-19 ni hatari

Sisemi kuwa tatizo letu halitibiki. Utamaduni ni mafundisho, wakati wowote kwa kupenda ama kutopenda tunaweza kubadilika. Moja ya kazi za serikali ni kutoa elimu sahihi ili jamii iondokane na tabia zinazodumaza maendeleo.
Hatuelewani mkuu, tatizo si utamaduni tofauti yetu sisi ni kutojengewa hofu kwa kutishwa na huu ugonjwa kama ambavyo hao wengine walivyofanyiwa,kwahiyo issue hapa ni kutishwa tu na ndio maana hata huko kwengine wapo waliyogundua hilo na wanasema corona inakuzwa sana.
 
Nami leo ndiyo naamini nimesikia Sana Kwa watu.
Nasikitika nimempoteza uncle wangu asubuhi ya leo mbaya zaidi nilikuwa naye kwenye mazishi ya uncle wangu mwingine siku Sita nyuma yeye karudi mkoani hajachukua round.
Kwa kifupi nimefiwa na uncle zangu wawili ndani ya wiki mbili acheni tu...
Ni corona?
 
Kenge huwa anaelewa baada yakupigwa na kitu kizito kichwani na mpaka atoe damu masikioni wakati huo keshafariki, watanzania wengi tupo kama huyo jamaa.
 
Corona ipo. Best yangu ameteseka sana hii wiki na iliyopita tunamshukuru Mungu sasa anaendelea vizuri. Maumivu yake anasimulia si mchezo mwili kama umevunjwa vunjwa halafu unachomwa na misumari. Kifua ndio usiseme.
Watu wengine dalili inakuja kny kutapika tu
 
Nami leo ndiyo naamini nimesikia Sana Kwa watu.
Nasikitika nimempoteza uncle wangu asubuhi ya leo mbaya zaidi nilikuwa naye kwenye mazishi ya uncle wangu mwingine siku Sita nyuma yeye karudi mkoani hajachukua round.
Kwa kifupi nimefiwa na uncle zangu wawili ndani ya wiki mbili acheni tu...
Nyie kila siku mnasema mmefiwa na anko zenu, mbona nyie hamfi?

Au inakuwaje jamani?
 
Corona ipo. Best yangu ameteseka sana hii wiki na iliyopita tunamshukuru Mungu sasa anaendelea vizuri. Maumivu yake anasimulia si mchezo mwili kama umevunjwa vunjwa halafu unachomwa na misumari. Kifua ndio usiseme.
Watu wengine dalili inakuja kny kutapika tu

Nshapigwa na hii kitu
Wanaosema haipo nawaombea kwa nguvu iwalambe wajifunze kuwa na utu
 
Corona ipo. Best yangu ameteseka sana hii wiki na iliyopita tunamshukuru Mungu sasa anaendelea vizuri. Maumivu yake anasimulia si mchezo mwili kama umevunjwa vunjwa halafu unachomwa na misumari. Kifua ndio usiseme.
Watu wengine dalili inakuja kny kutapika tu
Alikuwa hospitali au
Alikuwa anatumia dawa gani
 
Nshapigwa na hii kitu
Wanaosema haipo nawaombea kwa nguvu iwalambe wajifunze kuwa na utu
Kama haijakupiga au kumpiga mtu wako wa karibu utaona watu wakiongea ni blablah tu.
Pole sana kwa kupitia hii changamoto
 
Tulienda msiban huko mwanza-ukerewe na barakoa zetu na sanitizer za kutosha Ila tulipofika Tu msiban walitunyanyapaa na barakoa zetu mpaka tulivua...Kwa maeneo ya vijijini ni vigumu Sana kuwaelimisha juu covid-19
[emoji23][emoji23] Ni kweli..ukivaa barakoa unaonekana mjuaji flani
 
Mimi nipo nchi moja hivi kimasomo asikuambie mtu nimeona watu wa karibu sana wakidondoka. Maprofesa wangu watatu wamepukutika mmoja wawili waliopona wamekaa ICU siku 40 wametoka ukiwaangalia machozi yanatoka maana wakitembea wanapepesuka tu mpaka unasema ni bora wangefariki. COVID 19 haina formula unaweza kuwa kijana na confidence yako ila ukipata hata usiku huvuki na pia unaweza ukawa nayo ukadunda bila kujijua. Muhimu kama wewe huogopi jali wazazi wako na watu wengine ambao ni dhaifu. Naangalia watanzania tulivyo na dharau na maneno ya kashfa mitandaoni ila kumbukeni tu machozi humtoka mwenye msiba.
 
Mimi nipo nchi moja hivi kimasomo asikuambie mtu nimeona watu wa karibu sana wakidondoka. Maprofesa wangu watatu wamepukutika mmoja wawili waliopona wamekaa ICU siku 40 wametoka ukiwaangalia machozi yanatoka maana wakitembea wanapepesuka tu mpaka unasema ni bora wangefariki. COVID 19 haina formula unaweza kuwa kijana na confidence yako ila ukipata hata usiku huvuki na pia unaweza ukawa nayo ukadunda bila kujijua. Muhimu kama wewe huogopi jali wazazi wako na watu wengine ambao ni dhaifu. Naangalia watanzania tulivyo na dharau na maneno ya kashfa mitandaoni ila kumbukeni tu machozi humtoka mwenye msiba.
Mkuu maisha siku zote yapo hivyo labda uwe hukuwahi kushuhudia watu wako wa karibu wakiuguwa au wewe mwenyewe kuuguza, sie wengine tumeshawahi kuuguza na kufiwa na watu wa karibu ndani ya wiki moja tu hiyo kabla ya corona, kwahiyo hisia hizo mnazozisema humu watu tunazijua ila wengine kwa sababu zimewakuta hisia hizo kipindi hiki cha corona ndio maana mnaona ni vitu vya ajabu havijawahi kuwepo.
 
Mkuu Moshi watu wanakufa sana kama ulivyoelezea maana yake huko maambukizi ni mengi ndio kuna ongezeko la vifo, ndio maana nikauliza itachukua muda gani hadi maambukizi yasambae nchi nzima iwe kama huko Moshi? hao hao watano 5 ambao jamaa kawaona wakifa sana huko moshi ndio nauliza itachukua kuwa hivyo kwa mikoa mengine pia?

Mkuu inaonyesha bado ugonjwa wa corona hauujui vizuri ,sasa hali ya hewa/mazingira/immunity ya watu wa moshi ni sawa nchi nzima? Kama watu hawajasambaza kwenye mikoa mingine si itaishia huko huko Moshi?
 
Mkuu inaonyesha bado ugonjwa wa corona hauujui vizuri ,sasa hali ya hewa/mazingira/immunity ya watu wa moshi ni sawa nchi nzima? Kama watu hawajasambaza kwenye mikoa mingine si itaishia huko huko Moshi?
Kwahiyo hapo unataka nikuelewe vp maana mara Moshi watu wanapukutika mara wanaokufa ni asilimia tano tu mara hali ya hewa na mazingira ya moshi, hebu niambie nikuelewe vp kuhusu hiyo corona huko moshi?
 
Kwahiyo hapo unataka nikuelewe vp maana mara Moshi watu wanapukutika mara wanaokufa ni asilimia tano tu mara hali ya hewa na mazingira ya moshi, hebu niambie nikuelewe vp kuhusu hiyo corona huko moshi?

Wataalam kila siku wanatoa maelezo kuhusu huo ugonjwa mkuu ,google it utapata factors zinazo favor corona virus ku spread ,wameeleza kwa kina immunity,environment(weather condition) etc impact zake kwenye uviko.
 
Nilikuwa nachukulia poa hii kitu. Yaani kuvaa barakoa na kunawa sijui mikono ilikuwa ni mpaka nione kuna ulazima au kulazimishwa.

Mfano nikienda hospital ni mpaka nione watu hawaruhusiwi kuingia bila barakoa ndo na mimi nitanunua na kuvaa. Ila sasa yaliyotokea leo ndugu zangu nimenyoosha mikono juu. Yaani nimepigiwa simu jana saa nne usiku naambiwa mama yako mkubwa anaumwa kifua kimembana na vichomi tunampeleka hospitali, nikachukulia kawaida tu. Kufika saa saba na nusu usiku watu wanapiga simu wanalia amefariki.

Nimefika msibani tena naambiwa watoto wake wawili wamelazwa hospitali wapo hoi kwa tatizo hilo hilo la vifua kubana na vichomi. Aise ikabidi nitoke kimya kimya kwanza kwenda kununua barakoa za kutosha na groves kabisa maana ni hatari.

Covid ipo ndugu zangu ni hatari na inaua ghafla ghafla kabla hata hujatubu dhambi zako.

Take care chukua tahadhari.
Kwa hiyo unaamini kila ukibanwa na kifua ni C-19.Dah!Kweli ujinga hauna mwisho.Hivi hujui kwamba vitu vingi vinaweza kuleta kubanwa na kifua,hata air pollution!Na hivi hujui kwamba hicho kinachoitwa Corona ukinywa Hydroxychloroquine au Ivermectin au hata Pine Oil au hata Pine Juice kinapotea?Tumeingizwa mkenge kweli kweli.
 
Back
Top Bottom