kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Kwakweli mungu aendelee kutusaidiaMtu mmoja kuvaa barakoa hakumkingi na ugonjwa huo iwapo wengine wote hawajvaa. Inatakaiwa tamko la serikali kuwa barakoa ni lazima kwa watu wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli mungu aendelee kutusaidiaMtu mmoja kuvaa barakoa hakumkingi na ugonjwa huo iwapo wengine wote hawajvaa. Inatakaiwa tamko la serikali kuwa barakoa ni lazima kwa watu wote.
Usidanganyike na corona ya kutunga.watu wanakufa kwa magonjwa mengine sio corona. Mtaani mbona hakuna hizo habari? Yaani imefika wanatangaza eti corona sijuhi mjikinge kwa nini wanatumia nguvu kubwa? Virona ni ugonjwa wa kutengeneza unakuja kama nvua na kuondoka.Dada yangu na wewe umekubali kuwa corona ni hatariii ?
Si hofu ya malezi bali kutishwa ndiyo maana wengine wanasema corona inakuzwa.
.
Hata hapa Tanzania sasa hivi serikali ikitaka kuwatisha wananchi wake inaweza na ilishakuwa hivyo ile mwaka jana mwanzoni watu waliitikia huo muito wa hofu.Hofu imejengwa ulimwengu mzima lakini mwitikio, kwa kulinganisha, unatofautiana kati ya jamii na jamii. Aidha, sisi si kwa korona pekee, kutochukua tahadhari kwa mambo kama magonjwa ama hatari zozote ni utamaduni. Sababu zingine zinaweza kuwepo lakini utamaduni huchukua nafasi kubwa. Hata leo hii, mtu ana uwezo, atajenga nyumba, hamna tahadhari zozote za kujihami na hatari kama za moto. Hata bima hamna.
Ninakumbuka baada ya visa vya moto kama Shauritanga kutokea ndiyo baadhi ya mashule yakahimizwa kufundisha watoto kujihadhari. Kisha kimyaaaa. Sasa hivi unaona mabalaa ya moto tena, kwakuwa hajafa mtu, hamna kinachofanyika. Kesho watu wakigeuka mishikaki utaona tunavyoanza kulipuka na kujipanga upya.
Kwa hii hali yetu ya kutochukua tahadhari ambayo tuko nayo mwaka jana, unadhani itachukua muda gani hadi hivyo au maambukizi kama hayo ya Moshi kuweza kuwepo nchi nzima?Jamaa yangu alienda Moshi last week , alivyofika huko maeneo ya kwao akaona daily watu wanakufa ikabidi arudi DAR fasta.
Sisemi kuwa tatizo letu halitibiki. Utamaduni ni mafundisho, wakati wowote kwa kupenda ama kutopenda tunaweza kubadilika. Moja ya kazi za serikali ni kutoa elimu sahihi ili jamii iondokane na tabia zinazodumaza maendeleo.Hata hapa Tanzania sasa hivi serikali ikitaka kuwatisha wananchi wake inaweza na ilishakuwa hivyo ile mwaka jana mwanzoni watu waliitikia huo muito wa hofu.
Kwa hii hali yetu ya kutochukua tahadhari ambayo tuko nayo mwaka jana, unadhani itachukua muda gani hadi hivyo au maambukizi kama hayo ya Moshi kuweza kuwepo nchi nzima?
Nilikuwa nachukulia poa hii kitu. Yaani kuvaa barakoa na kunawa sijui mikono ilikuwa ni mpaka nione kuna ulazima au kulazimishwa.
Mfano nikienda hospital ni mpaka nione watu hawaruhusiwi kuingia bila barakoa ndo na mimi nitanunua na kuvaa. Ila sasa yaliyotokea leo ndugu zangu nimenyoosha mikono juu. Yaani nimepigiwa simu jana saa nne usiku naambiwa mama yako mkubwa anaumwa kifua kimembana na vichomi tunampeleka hospitali, nikachukulia kawaida tu. Kufika saa saba na nusu usiku watu wanapiga simu wanalia amefariki.
Nimefika msibani tena naambiwa watoto wake wawili wamelazwa hospitali wapo hoi kwa tatizo hilo hilo la vifua kubana na vichomi. Aise ikabidi nitoke kimya kimya kwanza kwenda kununua barakoa za kutosha na groves kabisa maana ni hatari.
Covid ipo ndugu zangu ni hatari na inaua ghafla ghafla kabla hata hujatubu dhambi zako.
Take care chukua tahadhari.
Hii ilipita na mzee wangu kama upepoAsante mkuu
Jiwe,Safi, waelezee wajinga wajinga wengine humu, uzuri wa Covid huwa inaanza na wale wabishi, mfano Nkurunziza, etc...
Dodoma nako nomaNi Dodoma mkuu
Moshi au Mwanza
Thanks man. Blessings be on you.
Mkuu Moshi watu wanakufa sana kama ulivyoelezea maana yake huko maambukizi ni mengi ndio kuna ongezeko la vifo, ndio maana nikauliza itachukua muda gani hadi maambukizi yasambae nchi nzima iwe kama huko Moshi? hao hao watano 5 ambao jamaa kawaona wakifa sana huko moshi ndio nauliza itachukua kuwa hivyo kwa mikoa mengine pia?Mkuu unachoshindwa kuelewa ni kwamba kati ya watu 100 watakaopata corona , 85 wanaweza wakapona bila kuonyesha dalili , 10 wanaweza kuonyesha dalili , 5 wanaweza kufariki na hao huwa na magonjwa mengine).
Kwahiyo corona ni risk sana kwa watu wenye magonjwa mengine eg kisukari ,magonjwa ya moyo ,sicklecell ,Pumu etc
Darwin Theory inasema :- Survival of the fittest means Only the strong will survive.
Pole mkuuNami leo ndiyo naamini nimesikia Sana Kwa watu.
Nasikitika nimempoteza uncle wangu asubuhi ya leo mbaya zaidi nilikuwa naye kwenye mazishi ya uncle wangu mwingine siku Sita nyuma yeye karudi mkoani hajachukua round.
Kwa kifupi nimefiwa na uncle zangu wawili ndani ya wiki mbili acheni tu...