secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Pole mm nipo msibani .....kwa jiraniNiko Mbeya na niko kitandani I'm suffering the pandemic!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mm nipo msibani .....kwa jiraniNiko Mbeya na niko kitandani I'm suffering the pandemic!
ungepata mda tafuta kitu inaitwa ALMINT kwenye viduka vile vya misikitini au dawa za kihindi.ni babkubwa ile ukiweka kitone tuu ukajifkiza na ukainywa kwa chai inafungua kifua chote.haifiki hata bukuI'm fighting and with the help of our almighty GOD I'll win.
Ninaitumia, si iko kama chenga za chumvi?ungepata mda tafuta kitu inaitwa ALMINT kwenye viduka vile vya misikitini au dawa za kihindi.ni babkubwa ile ukiweka kitone tuu ukajifkiza na ukainywa kwa chai inafungua kifua chote.haifiki hata buku
yes yes!ok man wish u speed recoveryNinaitumia, si iko kama chenga za chumvi?
Jiwe anakuchapa mbela na nyuma.....Jiwe ndio anaijua vizuri covid.
Alikufa hata bila kuomba maji au kutaja alikoficha 1.5 trillion
Thanks man. Blessings be on you.yes yes!ok man wish u speed recovery
Mkuu hata huko wengine kama kusingekuwa na cha kuwatisha basi nao wasingekuwa na sababu ya kuona corona ni hatari, kwahiyo hata wenzetu huko wapo ambao huona corona inakuzwa na kuwajenga watu hofu kinyume na uhalisia.Mfano mzuri. Huo ni utamaduni wa Kiafrika.Sisi taratibu zetu za mipango ya maisha hutegemea matukio au uhitaji, yani tupo phenomenological. Unakunywa maji pale unaposikia kiu, unakula tunda pale unapoliona n.k. Kwa maana nyingine ni vigumu kupanga ama kufikiria yajayo.
Kwahiyo, kwa mbongo, kumwambia kitu X ni hatari, hata kama vimethibitishwa kisayansi, ni mpaka aone ama vimkute. Hata maradhi kama UKIMWI, na yale yasioambukizwa kama kisukari na kansa, kwakuwa athari zake ni za miaka mingi kutokea basi ni ngumu kwa wabongo kuchukua tahadhari. Korona ikikaa hapa kama ilivyofanya India, wala serikali haitohitaji kutangaza, utaona jinsi wenyewe tunajidhibiti.
Mkuu hata huko wengine kama kusingekuwa na cha kuwatisha basi nao wasingekuwa na sababu ya kuona corona ni hatari, kwahiyo hata wenzetu huko wapo ambao huona corona inakuzwa na kuwajenga watu hofu kinyume na uhalisia.
Acha kutisha watuNilikuwa nachukulia poa hii kitu. Yaani kuvaa barakoa na kunawa sijui mikono ilikuwa ni mpaka nione kuna ulazima au kulazimishwa.
Mfano nikienda hospital ni mpaka nione watu hawaruhusiwi kuingia bila barakoa ndo na mimi nitanunua na kuvaa. Ila sasa yaliyotokea leo ndugu zangu nimenyoosha mikono juu. Yaani nimepigiwa simu jana saa nne usiku naambiwa mama yako mkubwa anaumwa kifua kimembana na vichomi tunampeleka hospitali, nikachukulia kawaida tu. Kufika saa saba na nusu usiku watu wanapiga simu wanalia amefariki.
Nimefika msibani tena naambiwa watoto wake wawili wamelazwa hospitali wapo hoi kwa tatizo hilo hilo la vifua kubana na vichomi. Aise ikabidi nitoke kimya kimya kwanza kwenda kununua barakoa za kutosha na groves kabisa maana ni hatari.
Covid ipo ndugu zangu ni hatari na inaua ghafla ghafla kabla hata hujatubu dhambi zako.
Take care chukua tahadhari.
nenda kwenye kongamano la katiba mpyaNilikuwa nachukulia poa hii kitu. Yaani kuvaa barakoa na kunawa sijui mikono ilikuwa ni mpaka nione kuna ulazima au kulazimishwa.
Mfano nikienda hospital ni mpaka nione watu hawaruhusiwi kuingia bila barakoa ndo na mimi nitanunua na kuvaa. Ila sasa yaliyotokea leo ndugu zangu nimenyoosha mikono juu. Yaani nimepigiwa simu jana saa nne usiku naambiwa mama yako mkubwa anaumwa kifua kimembana na vichomi tunampeleka hospitali, nikachukulia kawaida tu. Kufika saa saba na nusu usiku watu wanapiga simu wanalia amefariki.
Nimefika msibani tena naambiwa watoto wake wawili wamelazwa hospitali wapo hoi kwa tatizo hilo hilo la vifua kubana na vichomi. Aise ikabidi nitoke kimya kimya kwanza kwenda kununua barakoa za kutosha na groves kabisa maana ni hatari.
Covid ipo ndugu zangu ni hatari na inaua ghafla ghafla kabla hata hujatubu dhambi zako.
Take care chukua tahadhari.
Uende tu kwa maana tumeambiwa na watu wengi na kila mtu anajua kuwa korona ipo na tukumekubali kuishi nayo- sasa wewe sijui umetoka lini mwezini mpaka utuletee habari hizi njema leoHamna tatizo mkuu.. nitakwenda
Ndio nimekwambia hiyo tofauti kwa sababu ya hofu kwa kama wao nao kusingejengwa hiyo hofu basi sidhani kama ungeona kuwa tofauti sana na sie. Hata hapa bongo tukifanikiwa kujenga watu hofu basi mambo yataenda sawa kama hao wengine.Mimi nilidhani hapa tunaongea kiujumla, kwa mfano, tunaposema Afrika ni masikini na Marekani ni tajiri, tuna maana ukienda Marekani kila mtu anamiliki Benz? Tunaongea hivi tukijua fika kuwa huko USA kuna masikini wa kutupa hata kwetu ukute hayupo wa hivyo. Kwa kulinganisha, tunatofautiana sana ndugu.
Pole Sana kiongozi Mungu awe mtetezi wakoNiko Mbeya na niko kitandani I'm suffering the pandemic!