Lorenzo Samike
JF-Expert Member
- Jun 18, 2021
- 1,187
- 1,914
Sijui kwann nikisikia habari za corona napata kichefuchefu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ndugu yangu boss wangu ofisini wiki hii yote anakoroma kama jenereta la diesel. Covid ni hatari sana.Haya maradhi ni kama zimwi mla watu, linapita kimya kimya...
Pole mkuu. Ila pamoja na kuvaa gloves hakikisha hujishiki nazo maeneo ya uso kabla ya kuzivua na kunawa mikono.Nimechukua na groves kabisa mkuu
Vipi haliNiko Mbeya na niko kitandani I'm suffering the pandemic!
Napambana na matibabu ya aina zote. Kizungu na kujifukiza. Lakini mwili unauma asikuambie mtu!Vipi hali
Mbona hujamwambia kwamba anawe mikono kabla ya kuvaa na kuvua barakoa?Sasa vaa barakoa kwa usahihi, usivalie kidevuni wala usivae barakoa ya mtoto mdogo.
ulishapitiwa na zile wave za nyuma??!!Napambana na matibabu ya aina zote. Kizungu na kujifukiza. Lakini mwili unauma asikuambie mtu!
Hapana.ulishapitiwa na zile wave za nyuma??!!
Pole aisee Mungu akusaidieNapambana na matibabu ya aina zote. Kizungu na kujifukiza. Lakini mwili unauma asikuambie mtu!
Kuna tatizo la suspects wa corona kuwaita moja kwa moja kuwa ni wagonjwa wa corona, hili nimeliona kwenye ile clip ya Mama Samia alipoogopa kuingia kwenye wodi ya wagonjwa wenye matatizo ya kupumua ambapo kuna suspect ila sisi huku tukapitisha kuwa ni wodi ya wagonjwa wa corona.Ili uamini zaidi, kuwa COVID-19 ipo na inauwa fika mortuary za KCMC na Mawenzi hospital Mkoa wa Kilimanjaro.
Eheee? Dom sehem gani mkuuNi Dodoma mkuu
Nani kakuambia ni covid? Mbona mnakuza mambo nyie mtaimba nyimbo za mabeberu mpaka liniNilikuwa nachukulia poa hii kitu. Yaani kuvaa barakoa na kunawa sijui mikono ilikuwa ni mpaka nione kuna ulazima au kulazimishwa.
Mfano nikienda hospital ni mpaka nione watu hawaruhusiwi kuingia bila barakoa ndo na mimi nitanunua na kuvaa. Ila sasa yaliyotokea leo ndugu zangu nimenyoosha mikono juu. Yaani nimepigiwa simu jana saa nne usiku naambiwa mama yako mkubwa anaumwa kifua kimembana na vichomi tunampeleka hospitali, nikachukulia kawaida tu. Kufika saa saba na nusu usiku watu wanapiga simu wanalia amefariki.
Nimefika msibani tena naambiwa watoto wake wawili wamelazwa hospitali wapo hoi kwa tatizo hilo hilo la vifua kubana na vichomi. Aise ikabidi nitoke kimya kimya kwanza kwenda kununua barakoa za kutosha na groves kabisa maana ni hatari.
Covid ipo ndugu zangu ni hatari na inaua ghafla ghafla kabla hata hujatubu dhambi zako.
Take care chukua tahadhari.
ok fight,Hapana.
I'm fighting and with the help of our almighty GOD I'll win.ok fight,
u will win the battle..no big deal