mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Subiri mwanafamilia yako mmoja adedi ndio utaelewahospital kubwa zote huwa zinajaa maiti. sio mfani sahihi huo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri mwanafamilia yako mmoja adedi ndio utaelewahospital kubwa zote huwa zinajaa maiti. sio mfani sahihi huo.
Mbona mmoja amefariki juzi, ila sina undezi wa kuitaja covid kila saa.Subiri mwanafamilia yako mmoja adedi ndio utaelewa
Kororona ipo kila mahala ila maeneo ya mwanza na kilimanjaro hali ni mbaya sanaWe jamaa wewe, endelea kukariri
Tulienda msiban huko mwanza-ukerewe na barakoa zetu na sanitizer za kutosha Ila tulipofika Tu msiban walitunyanyapaa na barakoa zetu mpaka tulivua...Kwa maeneo ya vijijini ni vigumu Sana kuwaelimisha juu covid-19Ukienda msibani usiende KIZEMBE vaa barakoa na tafuta sanitizer ya kusafishia mikono ukiwa msibani.
Tulienda msiban huko mwanza-ukerewe na barakoa zetu na sanitizer za kutosha Ila tulipofika Tu msiban walitunyanyapaa na barakoa zetu mpaka tulivua...Kwa maeneo ya vijijini ni vigumu Sana kuwaelimisha juu covid-19
Mfano mzuri. Huo ni utamaduni wa Kiafrika.Sisi taratibu zetu za mipango ya maisha hutegemea matukio au uhitaji, yani tupo phenomenological. Unakunywa maji pale unaposikia kiu, unakula tunda pale unapoliona n.k. Kwa maana nyingine ni vigumu kupanga ama kufikiria yajayo.Nilikuwa nachukulia poa hii kitu. Yaani kuvaa barakoa na kunawa sijui mikono ilikuwa ni mpaka nione kuna ulazima au kulazimishwa.
Kipindi cha baridi iki ..Hili nalo litapita, ikifika mwezi wa 9 corona itaenda likizo, tutapumua hadi mwezi wa 12, itarudi tena jan 2022 March hivyo yaan ni miezi mitatu mitatu. Poleni wafiwa.
Pole ila ni kawaida ya WaTzn ni mpaka yatufike ndio tunaaminiNilikuwa nachukulia poa hii kitu. Yaani kuvaa barakoa na kunawa sijui mikono ilikuwa ni mpaka nione kuna ulazima au kulazimishwa.
Mfano nikienda hospital ni mpaka nione watu hawaruhusiwi kuingia bila barakoa ndo na mimi nitanunua na kuvaa. Ila sasa yaliyotokea leo ndugu zangu
Madalali wa chanjo mnaoata tabu sana 😂😂Nilikuwa nachukulia poa hii kitu. Yaani kuvaa barakoa na kunawa sijui mikono ilikuwa ni mpaka nione kuna ulazima au kulazimishwa.
Mfano nikienda hospital ni mpaka nione watu hawaruhusiwi kuingia bila barakoa ndo na mimi nitanunua na kuvaa. Ila sasa yaliyotokea leo ndugu zangu
Huu ugonjwa ni hatari sana mkuu.Nilikuwa nachukulia poa hii kitu. Yaani kuvaa barakoa na kunawa sijui mikono ilikuwa ni mpaka nione kuna ulazima au kulazimishwa.
Nilikuwa nachukulia poa hii kitu. Yaani kuvaa barakoa na kunawa sijui mikono ilikuwa ni mpaka nione kuna ulazima au kulazimishwa.
Mfano nikienda hospital ni mpaka nione watu hawaruhusiwi kuingia bila barakoa ndo na mimi nitanunua na kuvaa. Ila sasa yaliyotokea leo ndugu zangu nimenyoosha mikono juu. Yaani nimepigiwa simu jana saa nne usiku naambiwa mama yako mkubwa anaumwa kifua kimembana na vichomi tunampeleka hospitali, nikachukulia kawaida tu. Kufika saa saba na nusu usiku watu wanapiga simu wanalia amefariki.
Nimefika msibani tena naambiwa watoto wake wawili wamelazwa hospitali wapo hoi kwa tatizo hilo hilo la vifua kubana na vichomi. Aise ikabidi nitoke kimya kimya kwanza kwenda kununua barakoa za kutosha na groves kabisa maana ni hatari.
Covid ipo ndugu zangu ni hatari na inaua ghafla ghafla kabla hata hujatubu dhambi zako. Take care chukua tahadhari.
Punguza saundi wezako niwatanzania wezako tunawatoto au familia kwaujumlaNot every coincidence is covid19 related.
😀😀We jamaaa weMbona mmoja amefariki juzi, ila sina undezi wa kuitaja covid kila saa.