Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Pole kwa kufiwa,Nilikua nachukulia poa hii kitu. Yaani kuvaa barakoa na kunawa sijui mikono ilikua ni mpaka nione kuna ulazima au kulazimishwa. Mfano nikienda hospital ni mpaka nione watu hawaruhusiwi kuingia bila barakoa ndo na mimi nitanunua na kuvaa.....