Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 17,251
- 22,929
Tafuta taarifa sahihi mkuu,mbona unaingizwa mkenge kirahisi hivyo.Kwa hiyo unaamini ugonjwa kwa sababu wamesema upo?No, huu sio wakati wa kuamini kila kitu.Wake up.Ndiyo ugonjwa upo na hakuna anaye bisha lakini kulazimishana ndo haitakiwi