Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Kuna vijana humu wanapeanaga mbinu za kijinga siku umri ukienda watalalamika kama huyu jamaa.Kwa nini nikutishe? Nikueleze ukweli, mambo mengi ya hovyo mnayofanya ukiwa vijana Yana tengeneza mitazamo yenye mazara baadae!