Leo ni 40 ya mtoto wa Hamissa Mobetto fuatilia hapa kujua yanayojiri

Mkuu usiamini kila unachokiona kwenye mitandao, laiti watu wangekua wanajua yanayoendelea nyuma ya pazia wangeacha kumtukana hamissa na kumshangaa mond.

Mond kamkana mtoto kwenye hadhira ila mtoto anahudumiwa kasoro uhusiano na missa umesitishwa... endeleeni kumsema anawachora tu
 
nahapa nikatika mtandao na wewe siwezi kukuamini!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hehee hhh
 
Kwa hiyo si tufanyeje? Leo ndo siku ya kuzibua maskio?
 
Anamkomoa kwa lipi Haswa?anaikomoa chai kwa kuijaza sukari?kuzalishwa na mume wa mtu unamkomoa mkewe?jamani!
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…