Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,512
- 23,925
Mkuu usiamini kila unachokiona kwenye mitandao, laiti watu wangekua wanajua yanayoendelea nyuma ya pazia wangeacha kumtukana hamissa na kumshangaa mond.Sihitaji kusamehewa ila twambie baba wa mtoto maana naona mnaweweseka Chibu kaisha sema!atakuwa kama watoto wengine ambao baba zao waliwakana!Nyie timu ndo mmemsababishia mtoto akataliwe mlitaka kujionyesha kwa demu wake kuwa nanyie mmezaa na Chibu...Basi mpelekeni Kwa babake Chibu.
Mond kamkana mtoto kwenye hadhira ila mtoto anahudumiwa kasoro uhusiano na missa umesitishwa... endeleeni kumsema anawachora tu