Kamuiga hadi kupiga picha za tumbo la ujauzito. Ila alikuwa na bahati mbaya tumbo alituonyesha peke yake ba mtoto hakuwepo kulibusu au kupet pet. Huyu Binti sijawahi kumpenda mashavu ka kanaswa kibao! Zari Bomba jamani beautiful mama mwenye mkwanja na Watoto wa kishua!Nimesoma mahala na jina eti kabadilisha kwa kuogopa kuumbuka na kutukanwa kwa uongo.. ila anamzimia Zari anamuiga mavazi sana sana tangu zamani hadi akatamani kuwa na bwana mmoja nae.. angekuwa na uwezo wa kuwa na maisha kama yakr angefurahia zaidi ila ndio hivyo tena..
typical uswahili....Sawa,
He labda hiyo iko sayari ya Venus!Mtoto asiye na baba 40 ya nini sasa...
Vipi unasemaje sasa baada ya kauli?Mnhhh!!!
Kwahiyo maana yake!??
Nasubiri kauli.
[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] anapambana na hali yakeVipi unasemaje sasa baada ya kauli?
Pambaneni na hali zenyu Jamani Leo kwao kesho kwenu, maisha hayana formulaLeo ndio ile 40 ya mtoto wa hamissa Mobetto na Diamond Platnumz Prince Dully ambayo inafanyika nyumbani kwa akina Hamissa
====UPDATES
Huko mambo ni moto moto habari za chini chini inasemekana Hamissa amepania kumkomoa Zarithebosslady
Na ili kumuumiza vizuri zarri Hamissa mda sio mrefu alikuwa akinengua nyimbo ya eneka ya baba watoto wake Diamond Platnumz
Vipi unasemaje sasa baada ya kauli?
....[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] anapambana na hali yake