GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 161
[/size][/b]
labda huko kwenu, kwetu huku wanawake wanamiliki miradi mikubwa na wanaendesha familia.
we bana mbona unaanza kwenda off-topic,una hakika ni mkewe??
vipi umitumwa na malijendi nini??.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[/size][/b]
labda huko kwenu, kwetu huku wanawake wanamiliki miradi mikubwa na wanaendesha familia.
we bana mbona unaanza kwenda off-topic,una hakika ni mkewe??
hahahaaaa,hehehe!
Wewe utasubiri sana
kutoka tu wikiendi kunywa bia mpaka uandike barua......!:d
Currently Active Users Viewing This Thread: 21 (11 members and 10 guests) Chrispin*, Ambassador, chimunguru, Irizar, Kaitaba, Masaki, nyani<abiziani>, Preta, Tshala, Ziondaughter+
Mwingine mwenye heshima kubwa kwangu huyu hapa! Nakupenda sana ZD na nakuheshimu pia. Am proud of you na kila siku huwa namshukuru Mungu kunikutanisha na wewe! You are an angel!
Nmwaaaaa! nmwaaaaaa! Love you so much!
Nakupenda jinsi ulivyo ,for better & for worse 2geza!
heshima kwa kinadada ni muhimu sana. bikozi kama sio mungu kutuumbia hawa viumbe kutupatia ile huduma muhimu nazani duniani pasingekalika. tungelibaka hata kuku wa kienyeji! hapa nasema senk god kwa kutuumbia hawa viumbe wapole,wakarimu,wenye vibody laini laini.
Kutongozana kunaanza,
Halafu wewe! Ngoja nikupotezee ,leo nina Project ya muhimu ngoja nirudi Library.Ntakurudia siku nyingine.
hehehe!Msamehe bure, huwezi jua kalelewa na mwanamke wa aina gani! Unajua kuna baadhi ya wanawake wanachafua sifa nzuri ya wanawake. Lakini kwa kuwa ni wachache, ujinga wao wala hatuuoni!
hehehe!
hivi mimi nashukuru umesalimika...
inaonekana umekutwa na makubwa ZAIDI YA MC-LEMA
hizo busara za leo....
hhahahaha
NDO MAANA NILISHAHISI JAMBO TU HAPO!......Hahaha! Kuna Mpiganaji jana kafumaniwa,
Wapambanaji tukaingia kazini kumsihi mama asamehe
Kwanza mama hakutuelewa,
Nikaomba msaada kwa mama mwenye heshima kuliko wote mbinguni na duniani BIKIRA MARIA kwa kupiga fungu moja la rozari matendo ya uchungu!
Asubuhi jamaa kanipigia Simu KILIMO KWANZA kimedumishwa kama kawaida!
Huoni heshima ya mwanamke hapo?
ha ha haaaaaaaa, da we kibokohahaha! Kuna mpiganaji jana kafumaniwa,
wapambanaji tukaingia kazini kumsihi mama asamehe
kwanza mama hakutuelewa,
nikaomba msaada kwa mama mwenye heshima kuliko wote mbinguni na duniani bikira maria kwa kupiga fungu moja la rozari matendo ya uchungu!
asubuhi jamaa kanipigia simu kilimo kwanza kimedumishwa kama kawaida!
Huoni heshima ya mwanamke hapo?
heshima mbele mkuu!Off topik zimezidi mbona,.... ama heshima imeanza kushuka jamani eh!!!!