Leo ni: HESHIMA JUU kwa WANAWAKE!

Leo ni: HESHIMA JUU kwa WANAWAKE!

deh deh deh! inabidi ule kiapo kuonesha kwamba kweli haya maneno ni yako, na hakuna mtu kaiba pasiwedi yako! leo nahisi gesti linapoteza mmoja kati ya maselebriti wake! majuzi alibadilika geoff, leo krispini ,who iz neksti?

Nimepata eksipiriensi jana! Hakika nilichokishuhudia sikuamini! Wanawake ni mashujaa! We dawa mseto huna heshima kwa wanawake? Nadhani unahitaji ban wewe!
 
deh deh deh! inabidi ule kiapo kuonesha kwamba kweli haya maneno ni yako, na hakuna mtu kaiba pasiwedi yako! leo nahisi gesti linapoteza mmoja kati ya maselebriti wake! majuzi alibadilika geoff, leo krispini ,who iz neksti?
amenusurika kifo huyu!...
hahahaha
ALIANZA KUIONA TASWIRA
 
Tukio hilo uliliona kwa nani??
Ningeshangaa kama maswali kama haya yasiyokuwa na kichwa wala miguu yakosekane???

Na wengine watataka uwape source, hata hivyo na huyu anataka source ila katumia kiswahili
 
ni wote kuanzia beki tatu, kina eliza, mpaka first lady hapo ndio mtajiju

Hehehehe hawawezi wakigoma ni simple na sisi tunakata huduma unajua idadi kubwa ya wanawake wanawategemea wanaume kihuduma!?
 
Hehehehe hawawezi wakigoma ni simple na sisi tunakata huduma unajua idadi kubwa ya wanawake wanawategemea wanaume kihuduma!?

Labda huko kwenu, kwetu huku wanawake wanamiliki miradi mikubwa na wanaendesha familia.
 
Nimepata eksipiriensi jana! Hakika nilichokishuhudia sikuamini! Wanawake ni mashujaa! We dawa mseto huna heshima kwa wanawake? Nadhani unahitaji ban wewe!
heshima kwa kinadada ni muhimu sana. bikozi kama sio mungu kutuumbia hawa viumbe kutupatia ile huduma muhimu nazani duniani pasingekalika. tungelibaka hata kuku wa kienyeji! hapa nasema senk god kwa kutuumbia hawa viumbe wapole,wakarimu,wenye vibody laini laini.
 
hehehehe!
unapateje strengsi?
wote si wanawake?
acha kumtania george porgie bana....!😀
muache aendeleze libeneke
hahahaaaa, thats ALERT!.
nadhani baada ya project ya 13 FEBRUARY, then
I HEREBY DECLARE THE NEXT IS ME, seriously.
 
hahahaaaa, thats ALERT!.
nadhani baada ya project ya 13 FEBRUARY, then
I HEREBY DECLARE THE NEXT IS ME, seriously.
hehehe!
wewe utasubiri sana
kutoka tu wikiendi kunywa bia mpaka uandike barua......!😀
 
hahahaaaa, thats ALERT!.
nadhani baada ya project ya 13 FEBRUARY, then
I HEREBY DECLARE THE NEXT IS ME, seriously.


wacha uongo...hiyo seriously mbona ukaifanya faint lazima uwe mwangalifu kama mie ndio uione!!
 
Back
Top Bottom