Nawaheshimu sana wanawake wa zamani babu yangu alioa wake 3 ili adumumishe mila wote walikaa nyumba moja na walipika pamoja ila walila vyumba tofauti babu alikuwa ana rotate kulala akizidisha siku chumba kimoja ilileta manung'uniko. Sijui kama wanawake wa kileo wanaweza vumilia.
deh deh deh! huyu ekzoskeleton ana mapointi ya kushtukizia kweli! he he he . imetulia hii.Nawaheshimu sana wanawake wa zamani babu yangu alioa wake 3 ili adumumishe mila wote walikaa nyumba moja na walipika pamoja ila walila vyumba tofauti babu alikuwa ana rotate kulala akizidisha siku chumba kimoja ilileta manung'uniko. Sijui kama wanawake wa kileo wanaweza vumilia.
heheheheh!Hii inahitaji thread inayojitegema: Wanawake wa zamani vs wa sasa!! π Ni mtazamo tu!
huu wimbo huu unanipelekaga mbali sana tena sana.....
UTAPIGWA SERVER BAN.Hii inahitaji thread inayojitegema: Wanawake wa zamani vs wa sasa!! π Ni mtazamo tu!
wapi huko Babra π
Hii inahitaji thread inayojitegema: Wanawake wa zamani vs wa sasa!! π Ni mtazamo tu!
wakikusikia tu!!UTAPIGWA SERVER BAN.
ila wanawake wa zamani wako juuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!.
we men get our strength in women (kwa my wife wetu)........what about dem unmarried men (kwa vihudumu vya ........bar?---)
hehehehe!we men get our strength in women (kwa my wife wetu)........what about dem unmarried men (kwa vihudumu vya ........bar?---)
Wapi tena huko laazizi? π
we men get our strength in women (kwa my wife wetu)........what about dem unmarried men (kwa vihudumu vya ........bar?---)
malaika aliyekushukia jana akae na wewe daima na milele!!
wapi huko Babra π
hahaha!We have our own strength and life goes on, tofauti ni kwamba labda nyie mliooa mna addtional strenght from your wives! LABDA!!!
Masikini wanawake pole zetu
hahaha!
Adisheno strenssi itoke wapi ndugu yangu?
Btw:kumbe hujaoa?unasubiri nin?fanya makeke tule mpunga bana
heheheh!2010 - hapa vumbi tu!!! π π π