Leo ni: HESHIMA JUU kwa WANAWAKE!

Leo ni: HESHIMA JUU kwa WANAWAKE!

Kwa nature ya akina mama ni wepesi wa kusamehe na ni wepesi wa kushawishika. Angalia kwenye mikutano ya walokole, wamejaa akina mama, wameshawishika kuokoka, lakini akikutana na kishawishi kingine ni mwepesi wa kusaha ulokole wake. Tunawapenda kwa hilo, mmetuweka mahala tulipo. Mubarikiwe

Wanawake ni alama ya AMANI na UPENDO duniani!
 
2010, Mimi & mchumba Xpin tupo kibiashara zaidi.NO VALUU,NO ULANZI.
Hehehheee,mweeeee.Iam very happy.Bht yupo wapi jamani maombi yetu yamejibiwa!!!!
hahahaaaaaa,
kwakweli na mimi naona hii siginecha yako hapa:
Wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni,hawatatikisika wakaa milele daima.Zab 125:1
 
Kwa hapo itabidi ukeshe ukiomba! Manake hapa tayari kiu kinabana!
Kwa MAPENZI mazito niliyonayo kwako,nipo tayari kukesha na kuomba na Kufunga juu hata siku 40.
Nakuaandaa kuwa Lijendi Mkuu angalau wa wizara fulani.
 
hehehe kwa mtandao huu:
The Following 35 Users Say Thank You to Chrispin For This Useful Post: Remove Your Thanks akili kichwani (Today), Babra (Today), bht (Today), Bujibuji (Today), carmel (Today), De Novo (Today), eRRy84 (Today), Fidel80 (Today), FirstLady1 (Today), Geoff (Today), George_Porjie (Today), gkundi (Today), JS (Today), Kaitaba (Today), Katavi (Today), klorokwini (Today), Lily Flower (Today), lumbe (Today), Mfamaji (Today), MjasiriamaliShupavu (Today), MwanajamiiOne (Today), Next Level (Today), Ngongo (Today), Nguli (Today), NPL (Today), Preta (Today), Pretty (Today), Prodigal Son (Today), Shishi (Today), SMU (Today), Soulbrother (Today), Sumbalawinyo (Today), Tshala (Today), Tumain (Today), Ziondaughter (Today)

UNAWATENGENEZEA WAPWAAZ MAADUI

Hahaha! Leo hata malijendi wamekong'oli senksi? Wanawake wanaheshiwa bana! Wakijenga uadui hapo wameanzisha vita na wanawake!
 
HEHEHEHE!
lediiiz for the WAPWAAAZ!........
 
Jamani pamoja na hayo msisahau Project 13.2.2010.

HESHIMA KWA WANAWAKE....kila kibao cha FM academia kinaitwaje tena?
 
Unaonekana umetafakari sana mkuu. Ni kweli kabisa wanastahili kuwa juu. Hata mbinguni wanawake ndio wengi watakaoingia kuishimilele na Mungu kwa heshima, maana mioyo yao wengi imepondeka sana. Mungu anasamehe, na wao pia. Ndio maana Mungu kawagawia kauwezo ka kubeba kiwanja cha kutengenezea binadamu na kumtunza hadi kieleweke.

Lakini usiombe ukakutana na mwanamke mwenye roho mbaya. Hata mchawi hatari zaidi duniani naambiwa ni mwanamke. Hata hospitali bora ugombane na daktari utasamehewa, lakini ukikorofishana na Nesi kufa ni halali yako. Yupi bora baba wa kambo na mama wa kambo?


Leka
 
Unaonekana umetafakari sana mkuu. Ni kweli kabisa wanastahili kuwa juu. Hata mbinguni wanawake ndio wengi watakaoingia kuishimilele na Mungu kwa heshima, maana mioyo yao wengi imepondeka sana. Mungu anasamehe, na wao pia. Ndio maana Mungu kawagawia kauwezo ka kubeba kiwanja cha kutengenezea binadamu na kumtunza hadi kieleweke.

Lakini usiombe ukakutana na mwanamke mwenye roho mbaya. Hata mchawi hatari zaidi duniani naambiwa ni mwanamke. Hata hospitali bora ugombane na daktari utasamehewa, lakini ukikorofishana na Nesi kufa ni halali yako. Yupi bora baba wa kambo na mama wa kambo?


Leka

Mkuu umekula senksi. Unayosema ni kweli kabisa. Lakini hao wachache hawatoshi kuifuta heshima ya walio wengi
 
Back
Top Bottom