Leo ni kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume na Nabii wa mwisho wa Soka



Majikombe hayo....mama mtindi unalo angalau moja au unaumwa wivu tu?


Hizi ndio PERSONAL ACHIEVEMENTS ambazo mtu huzipata kwa jasho lake na sio kwa kuwa tu wewe ni Mbrazil
haya yote mtakatifu amechukua sasa weka na la dunia ili rekodi itimie,maana huyu aweza kufa bila kulichukua lile kubwa kuliko makombe yote.
 
Nilishasema na nitaendelea kusema, si mimi tu bali duniani kote....DIEGO MARADONA......MESSI......ZIDANE, Huyo mkata mauno wako hata top 20 hayumo kabisaaa na hapo ubishe sasa!
 
Nakubaliana kwamba huyu ni MTUME wa soka duniani kwa kweli!!
 
Hebu tuacheni ushabiki wakitoto jamani..Ukimweka pending mzee D10s.... hakuna aliyemfikia KING hadi sasa,, na ataendelea kutawala soka hadi pale atakapostaafu ..then hakutakuwa na mwingine wakurithi mkoba wake baada ya karne! wakati huyo GAUNI wenu hata top 20 hayumo,
 
Moja ya wachezaji wa aina yake waliowahi kutokea ulimwenguni, Ronaldinho na Zidane sijawahi kuona mfano wao, hakuna cha Maradona wala Pele
 

Nikweri mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…