Leo ni leo ndani ya Kampala; pale Zari kule Hamisa Mobetto

Status
Not open for further replies.
Luga anajua? sio aende kuiaibisha nchi anavyofanyiwa interview
 
Hamisa kakonda Jamani she's acting like everything is damn OK Kumbe deep down inside she is dying maskini maana wabongo wanakutia moyo mchana usiku unapambana mwenyew
Yaan hadi huruma, anajilazimisha kushindana na Zari.
 
Hamisa hawezi kushindana na zari mwenye pesa yake
unaakili mno ujue kushindana na tajiri utaishia kujidharirisha maana nasikia zari kafanya show yake kama kawaida na hamisa kulidoda.
 
Zari kapost ticket sold out.
Masaa 10 baadae tununu naye kaiga. Yani zari amekua role model wa tununu
Kama kaalikwa mlitaka akatar kiza huyo masikio popo wenu yupo uganda,,mbona akija tz hamsemi mbona mna roho mbaya hivyo imewauma mno hamisa kuzaa na mond ,kazaeni nae na nyie
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…