Kwa kungezea tu!
Tarehe 24/10/1999 kule Kijijini Butiama wakati tunamzika Baba wa Taifa letu Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Rais wa wakati huo na mpaka sasa wa Uganda Mh. Yoweri Kaguta Museveni alitoboa siri kuwa Cordinator na Mtoa wazo na mfanikishaji Mkuu wa Azimio na baadae Mkakati wa kumuondoa Mdikteta Mobutu Seseseko alikuwa Ni Mwl Nyerere
Tarehe 24/10/1999 kule Kijijini Butiama wakati tunamzika Baba wa Taifa letu Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Rais wa wakati huo na mpaka sasa wa Uganda Mh. Yoweri Kaguta Museveni alitoboa siri kuwa Cordinator na Mtoa wazo na mfanikishaji Mkuu wa Azimio na baadae Mkakati wa kumuondoa Mdikteta Mobutu Seseseko alikuwa Ni Mwl Nyerere