Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Wako Morocco wanatunzwa na serikali. Hakuna anafahamu mfalme wa Morocco alipewa nini na Mobutu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wako Morocco wanatunzwa na serikali. Hakuna anafahamu mfalme wa Morocco alipewa nini na Mobutu
Wanatunzwa na serikali ya Morocco, wanaishi vizuri tu
HII KITU NI YA UKWELI MNOAlimkamata hayati Fránco Luambo Màkiadi kipindi hiko anajifanya kumkosoa kwenye nyimbo zake akamtia jela akamwambia atumie akili yake kutafuta kitu kitakachomfurahisha ili amwachie huru ndipo Frànco akamtungia hiki kibao kumfagilia,alifurahi mno akamtoa na kwenda kumfanyia Frànco party ikulu kisha kumwachia huru.
sent from my Infinix S2 Pro using JamiiForums mobile app
Moja ya wimbo mrefu sana wa Franco! Amemwagia sifa kibao! Nadhan ni baada ya kutoka jela!
signature yako mmmmhKumbe hata madikteta nao Wanafariki
Waambie waangalie hata kwenye Google kuhusu "Akazu", halafu kama watakuwa na maswali zaidi warudi.Ninadhani tukifahamu kwanini majivu ya Habyermana yalihifadhiwa na Mobutu tutafahamu kwanimi Kagame alimmaliza kisiasa
Hii ya kupiga mke ni common characteristic ya watu wa aina hiiNa mume wake
Naufahamu sana huu wimbo...nadhani kipindi hicho ilikuwa lazima kumsifia MobutuMoja ya wimbo mrefu sana wa Franco! Amemwagia sifa kibao! Nadhan ni baada ya kutoka jela!
Umesoma history shemeji? Unanikosha sanaMobutu, Idd Amin, Kamuzu Banda na Basiste wa Central Africa ninawajua vizuri sana
Mdogo mdogo shemeji
Hivi hukuona gari nyingine ya kutaja hadi Brevis! Ni gari makini though[emoji23] [emoji23]Ukiweka kwenye BREVIS unasikiliza toka KIMARA hadi Posta
Ni kama Swiss banks ya AfricaMorocco inauhusiano gani na hawa madikteta?
Naomba na huyu wetu usikae nae mbali tutaweza kuwasimulia madogo zetu badaeMobutu, Idd Amin, Kamuzu Banda na Basiste wa Central Africa ninawajua vizuri sana
Mkuu hilo pambano nimeliona ilikuwa ni nomaKatika kuiprote Zaire duniani Mobutu aliitisha shindano la ngumi kati ya Mohamed Ali na mpiganaji mwingine mshindi aliondoka na $ 50 million huo ulikuwa mwaka 1976. Dunia nzima ilitune TV kuangalia ngumi za Kinshasa
Hitler hakuwahi shinda uchaguzi, watu walikuwa wanamshitukia.Kuna wakati nilidhani wa Zaire walikuwa ama wajinga ama wazembe kuwa na kiongozi ka Mobutu !! Mhh nilidanganyika!!
Tanzania tuombe Mungu atunusuru na viashiria, najifunza kuwa hata ujerumani walifanya uchaguzi tena wa kidemocrasy kumpata Adolf Hitler aliyekuja kuwafanya mbaya
Cairo's