Ninadhani tukifahamu kwanini majivu ya Habyermana yalihifadhiwa na Mobutu tutafahamu kwanimi Kagame alimmaliza kisiasaIla KAGAME hapa Africa atazamwe sana. Chokochoko ya kila nchi yenye madini yumo ili ajinufaishe. He isn't a good person.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau alikuwa anaenda kunyoa Ubelgiji na watoto wake walikuwa wanasoma Ufaransa kila Weekend wanarudi.Mobutu aliishi wewe
, vinywaji vyake vyote kuanzia wine whiskey brandy vilitoka France pamoja na nyama za kisindika vilipelekwa Zaire na Concorde
Alipigwa na nani? Hakuwa na ulinziMke wake wa kwanza Antonella alikufa baada ya kupigwa mpaka kupoteza fahamu akiwa njamzito. Ingawaje aliwahishwa hospital Belgium lakini mauti yalimfika
Na mume wakeAlipigwa na nani? Hakuwa na ulinzi
Luambo Luanzo Makiadi. Ahh umenikumbusha mbaali sana, wimbo kama wimbo wa taifa ahh [emoji120]candidat mobiso mobutu
[emoji85] [emoji23]Mmoja wa mapacha alishaolewa, presidaa alivyomowna mume wake aliambiwa aachie mtoto anakwenda kuwa First Lady
Alikuwa anaitwa Joseph Mobutu akaamua kubadili jina pia kuwaamuru wazaire wote kuachana na majina ya Kizungu. Fuatilia majina ya Wanamuziki wa Congo hapo zamani utagunduaHuyu majina yake ni noma sana
Duuuuhh, alikuwa na wake wangapi? Maana pia uisema alioa mapachaNa mume wake
Asante kwa ElimuAlikuwa na Cruz yake ya kutembelea lake Tanganyika aliita Kamanyola
Hasira hii ni baada ya kutoroka shule akiwa anafanya O- levels na kwenda kwa girlfriend. Ilikuwa shule ya RC adhabu yake iliamuriwa aende jeshini baada ya mitihani ndiyo ukawa mwanzo wa kuchukia diniAlikuwa anaitwa Joseph Mobutu akaamua kubadili jina pia kuwaamuru wazaire wote kuachana majina ya Kizungu. Fuatilia majina ya Wanamuziki wa Congo hapo zamani utagundua
Alikuwa amejenga himaya ama makazi binafsi pale na walikuwa marafiki na Mfalme wa Morocco ambaye naye alikufa baadaeMorocco inauhusiano gani na hawa madikteta?