Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Anaolewa au wanacheza video ya wimbo?
Anaolewaje nyumbani kwa diamond?
Mwanamke wa kiislam najua ndoa ni kwao, [emoji3][emoji3]
Wazazi ndugu wapo wapi[emoji108][emoji108][emoji108]
WAPAMBANE TUU NA HALI ZAO HAMNA KIKI HAPA.
BTW hata akiolewa kuna mke wa 2 wa 3 hadi wa 4 labda ajivunie kuwa bi mkubwa
Hahaha naona hii amegoma ku expose kwa fan wake
Any way Kila la Kheri Kaka mkubwa mond
Na ww Leo umeanzisha thread tena ya udaku do jf ina wenyewe.Ile kauli mbio great thinker naona imevamiwa.
Sent using Iphone 7+
Sio upupu eti,naongelea uhalisia mm.Watu wanaishi kuingiza pesa.. wewe unaongelea upupwu.. duh!!!
Ushindwe katika Jina la YesuHii nyimbo ni kama neno la Mungu haitapita
Nasikia amekimbizwa Aghakan hospital amepata mshituko wa moyo na mchafuko wa tumbo.....jirani yangu MOBETO veepee
Na ww ushindwe piaUshindwe katika Jina la Yesu
Angewahabarisha mngesema anataka kuiuwa seduce me ya kiba[emoji817]Seriously? Dah mbona haijawa habari kubwa sana?
Duh hatimaye kamuoa
umeona ehhAngewahabarisha mngesema anataka kuiuwa seduce me ya kiba[emoji817]
Sent using Jamii Forums mobile app
MhhhhhhBora kiba kampa Zari kibao cha kuombea ndoa
Tizama ka seduce Adi ndo imetokea chezeya Kiba ww?
Sent using Jamii Forums mobile app
We unauhakika gani kiwa mtoto wa Mabeto babaye ni Diamond?, Wapi Diamond kakataa mtoto?niolewe na huyo mala** mkataa watoto afa analea wa5 wa ivan?