Leo ni siku ya aibu sana kwa Utawala wa Hayati Magufuli baada ya Sabaya kukiri alikuwa akitumwa kutekeleza uovu

Sidhani kama alikuwa atamba bali ni kutoeleweka kwa missions alokuwa akiagizwa kama DC azifanye.

Ndo maana alisema mahakamani kwamba hayati JPM, makamu wa raisi wa sasa na gavana wa BOT wote walikuwa wakifahamu missions hizo ambazo nyingi zilikuwa ni za kusaka mashine za kuchapisha pesa chafu ambazo zilikuwa zikitumiwa na baadhi ya watu ambao nao walikuwa na connections na maduka bandia ya kubadilisha fedha.

Kwa mfano kuna "mission" moja kule Chanika wilayani Temeke ambako Sabaya na vijana wengine wa kikosi kazi walikamata mashine na fedha kiasi cha shilingi milioni 800! kutoka sehemu moja tu.

Sasa weye niambie nchi yote hii mashine hizo zitakuwa ngapi watu wachapa tu fedha bandia na kuzitumbukiza kuzisafisha kwenye baadhi ya maduka ya kubadili fedha ambayo ni bandia?

Kwa kuwa Sabaya alikuwa na uwezo wa kuzitekeleza kazi hizo kwa ufanisi hayati JPM ndo akampa kazi ya DC kule Arusha na baadae Hai.

Kazi ya kurekebisha na kutengeneza uchumi wa nchi hii yakata kuwa makini sana na werevu wa hali ya juu maana uchumi wa Tanzania wanoufahamu kwa undani ni serikali na CCM wenyewe.

Hivyo, kitendo chochote cha kuingia na gia namba 6 wakati gia namba 1 hadi 5 zipo ili kufanya ufundi wowote yabidi kutumia akili sana.
 
Labda kama ametaka kuufurahisha upande wenu
 
Dadadeki....umeangukia pua!!! Aibu yenu jamaa mliyemsagia kunguni kaachiwa huru. Kenge
Kafungwa kifungo cha nje(suspended sentence) cha mwaka mmoja na faini(fidia) ya milioni tano.
Hii ni tofauti na kuachiwa huru kwani criminal records kuanzia sasa zitakuwa sehemu ya maisha yake plus hawezi kukata rufaa kwani amekiri makosa mwenyewe.
 
Hawa wanaokumbuka udhalimu, dhulma, mateso pamoja na wasiojua ndugu na wapendwa walio walipo hadi leo si Watanzania?
 
Hawa wanaokumbuka udhalimu, dhulma, mateso pamoja na wasiojua ndugu na wapendwa walio walipo hadi leo si Watanzania?
Ukiambiwa uwataje utatuletea hadithi za viroba ufukweni.

Muuaji gani wa kisiasa duniani anauwa raia wasio na hatia kwakwe. If anything ma dictator wao ungaika na wanasiasa ambao tishio kwao au vyombo vya habari.

Hakuna hizo familia zilizopoteza watu kwa amri ya Magufuli; with exception to Tundu Lissu (ambae alikuwa anaingilia Issue za national interest), Eric Kabendera ambae alikuwa akilipwa na mabeberu kuichafua serikali.

Mengine hadithi tu na kama yalikuwa yakifanyika sio kwa ridhaa yake, ata leo ukimzingua Bi Tozo kuna watu watakuzingua na si ajabu ukapoteza maisha bila ya yeye kujua wala kuwatuma; akabaki kushangwaza tu kama mtu mwingine be it lawama atatupiwa yeye.
 

Hivi ukikiri mahakaman unaachiwa au unahukumiwa?
 
Mapuzi hayajui huyu anakatia rufaa mwenendo wa kesi kisha anashinda na sio ameshinda kwa kuthibitika hakutenda uovu anaoshitakiwa nao!!

"Vipepo vyote vinavyosumbua huwa vimetumwa"
 
Hujawa msemaji wetu we kenge tu
 

Leo ni siku ya aibu sana kwa Utawala wa Hayati Magufuli baada ya Sabaya kukiri alikuwa akitumwa kutekeleza uovu​



Mengine hadithi tu na kama yalikuwa yakifanyika sio kwa ridhaa yake,
 

Leo ni siku ya aibu sana kwa Wanaouchafua Utawala wa Hayati Magufuli baada ya Sabaya kukiri alikuwa akitumwa kutekeleza kazi za Serikali iliyomuajiri.​

 
JPM aliajiri vijana wengi sana nchi zima na wengi bado wako kwenye baraza la mawaziri na taasisi zake Sabaya ni mmoja tu , mawaziri wa mkapa waliishia jela , subiri 2030 uone huu uozo.

USSR
Mwigulu ni mmoja wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…