Leo ni siku ya aibu sana kwa Utawala wa Hayati Magufuli baada ya Sabaya kukiri alikuwa akitumwa kutekeleza uovu

Leo ni siku ya aibu sana kwa Utawala wa Hayati Magufuli baada ya Sabaya kukiri alikuwa akitumwa kutekeleza uovu

Sabaya alikuwa anatamba kwamba misheni zake alikuwa anatumwa na jiwe. Leo amekiri, kwa hakika ni siku ya aibu sana kwa utawala wa JPM.

Mimi kama mfuasi wa Jiwe, Leo nimekuwa na siku mbaya sana baada ya Sabaya kukiri uhalifu mbele ya mahakama. Alikuwa anafanya uhalifu na kikosi kazi kwa Kibali Cha JPM
Aseme Sasa Ben sanane Azory gwanda wapo wapi atuonyeshe hata makaburi yao yalipo
 
Sabaya alikuwa anatamba kwamba misheni zake alikuwa anatumwa na jiwe. Leo amekiri, kwa hakika ni siku ya aibu sana kwa utawala wa JPM.

Mimi kama mfuasi wa Jiwe, Leo nimekuwa na siku mbaya sana baada ya Sabaya kukiri uhalifu mbele ya mahakama. Alikuwa anafanya uhalifu na kikosi kazi kwa Kibali Cha JPM
JPM alikuwa ni muuaji
 
Gaidi na team yake wanamuogopa sana Sabaya.
Kesha kiri kuwa yeye ni jambazi, aliongoza magenge ya uhalifu, alitumia madaraka vibaya nk kisha amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja (nje), sasa nani amuogope tena?
Huyu hata kama wananchi sasa wakiamua kuchukua sheria mkononi na kumtwanga mawe ni sawa tuu maana majambazi wengine mtaani wanamalizana nao tuu kisha serikali inatangaza wananchi wenye hasira kali wanetekeleza.
 
Sidhani kama alikuwa atamba bali ni kutoeleweka kwa missions alokuwa akiagizwa kama DC azifanye.

Ndo maana alisema mahakamani kwamba hayati JPM, makamu wa raisi wa sasa na gavana wa BOT wote walikuwa wakifahamu missions hizo ambazo nyingi zilikuwa ni za kusaka mashine za kuchapisha pesa chafu ambazo zilikuwa zikitumiwa na baadhi ya watu ambao nao walikuwa na connections na maduka bandia ya kubadilisha fedha.

Kwa mfano kuna "mission" moja kule Chanika wilayani Temeke ambako Sabaya na vijana wengine wa kikosi kazi walikamata mashine na fedha kiasi cha shilingi milioni 800! kutoka sehemu moja tu.

Sasa weye niambie nchi yote hii mashine hizo zitakuwa ngapi watu wachapa tu fedha bandia na kuzitumbukiza kuzisafisha kwenye baadhi ya maduka ya kubadili fedha ambayo ni bandia?

Kwa kuwa Sabaya alikuwa na uwezo wa kuzitekeleza kazi hizo kwa ufanisi hayati JPM ndo akampa kazi ya DC kule Arusha na baadae Hai.

Kazi ya kurekebisha na kutengeneza uchumi wa nchi hii yakata kuwa makini sana na werevu wa hali ya juu maana uchumi wa Tanzania wanoufahamu kwa undani ni serikali na CCM wenyewe.

Hivyo, kitendo chochote cha kuingia na gia namba 6 wakati gia namba 1 hadi 5 zipo ili kufanya ufundi wowote yabidi kutumia akili sana.
Sabaya alikua DC wa Wilaya gani huko Arusha???
 
Ngoja tuone walinda legacy kulwa jilala, etwege, magonjwa mtambuka, countrywide, ussr,na kiongoz wao johnthebaptist wanasemaje!!
Sabaya alikuwa anatamba kwamba misheni zake alikuwa anatumwa na jiwe. Leo amekiri, kwa hakika ni siku ya aibu sana kwa utawala wa JPM.

Mimi kama mfuasi wa Jiwe, Leo nimekuwa na siku mbaya sana baada ya Sabaya kukiri uhalifu mbele ya mahakama. Alikuwa anafanya uhalifu na kikosi kazi kwa Kibali Cha JPM
 
Sabaya alikuwa anatamba kwamba misheni zake alikuwa anatumwa na jiwe. Leo amekiri, kwa hakika ni siku ya aibu sana kwa utawala wa JPM.

Mimi kama mfuasi wa Jiwe, Leo nimekuwa na siku mbaya sana baada ya Sabaya kukiri uhalifu mbele ya mahakama. Alikuwa anafanya uhalifu na kikosi kazi kwa Kibali Cha JPM
Nyinyi wengine mnafikiria ubaya kwa matako na matumbo si kwa kichwa. Kuna watu wanafanya ubaya ambao kwa sababu mnafikiria namna hiyo hamuwezi kuelewa. Waacheni sasa wanaofanya ubaya ambao hamuwezi kuuona waendelee huku mkiwasifia na kuwaimbia mapambio
 
Sabaya alikuwa anatamba kwamba misheni zake alikuwa anatumwa na jiwe. Leo amekiri, kwa hakika ni siku ya aibu sana kwa utawala wa JPM.

Mimi kama mfuasi wa Jiwe, Leo nimekuwa na siku mbaya sana baada ya Sabaya kukiri uhalifu mbele ya mahakama. Alikuwa anafanya uhalifu na kikosi kazi kwa Kibali Cha JPM
Kwani Hayati Magufuli mwenyewe anasemaje baada ya sabya kukiri makosa?
 
AWAMU YA TANO, ULIKUWA NI UTAWALA WA OVYO KUPATA KUTOKEA, SEREKALI SAFI, HAIKUPASWA KUWA NA MAGENGE YA UTESAJI, UNYANGANYI, WIZI, UBADHIRIFU, UTOROSHAJI FEDHA, NA YA HOVYO YA AINA HIYO!.
 
Hata iwe vip mambo aliyoyafanya Mwamba kwa kipindi alichokua madarakani si ya kubeza hata kidogo. Wazee wa deal walikatwa mikia na ndio hao hao wanaolalamika kila siku kuwa mwamba alikua katili.

Hakuna maendeleo bila chembe za ukali kwenye utawala. Leo hii malkia anawarembulia jicho wapiga deal halafu kuna wajuba wanampa kongole
 
‘Chema chajiuza, kibaya chajitembeza’

Uongo kwa Magufuli ata urudiwe vipi, watanzania wameukataa. Wanamjua vyema nyakati za uhai wake alikuwa anasimamia nini kwa maslahi mapana ya watanzania wote.

Magufuli ni brand inayojiuza yenyewe kwa sasa, baada ya miaka miwili ni muda wa kukubali matokeo watanzania awanunui hizo hadithi za udhalimu.

Angeheshimu uchaguzi ili tuone kwa uhalisia kiwango cha kukubalika kwake. Sasa unasema wananchi walimkubali, ila ilipofika kipimo halisi cha kukubalika kwake ambao ni uchaguzi, akaishia kuuvuruga! Hapo bro inabidi upime unachoongea.
 
Hata iwe vip mambo aliyoyafanya Mwamba kwa kipindi alichokua madarakani si ya kubeza hata kidogo. Wazee wa deal walikatwa mikia na ndio hao hao wanaolalamika kila siku kuwa mwamba alikua katili.

Hakuna maendeleo bila chembe za ukali kwenye utawala. Leo hii malkia anawarembulia jicho wapiga deal halafu kuna wajuba wanampa kongole

Kama ingekuwa maendeleo yanaletwa na ukatili, basi ilibidi bara la Afrika ndio liwe na maendeleo sana, maana ukatili huku ndio sifa kuu.
 
Kesha kiri kuwa yeye ni jambazi, aliongoza magenge ya uhalifu, alitumia madaraka vibaya nk kisha amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja (nje), sasa nani amuogope tena?
Huyu hata kama wananchi sasa wakiamua kuchukua sheria mkononi na kumtwanga mawe ni sawa tuu maana majambazi wengine mtaani wanamalizana nao tuu kisha serikali inatangaza wananchi wenye hasira kali wanetekeleza.
Unateseka ukiwa wapi?
 
Back
Top Bottom